HABARI MPYA MUHIMU

PAPA MKIMBIZI

na Tony Alamo
iliandikwa katika mwaka wa 1990

Miaka ya awali ya 1940, kijana wa Kipolishi aliyehusika na mambo ya uuzaji wa bidhaa, aliyeajiriwa na I.G. Farben Kampuni ya Kemikali (wazalishaji gesi ya sianidi)1 aliuza sianidi kwa Manazi, iliyotumika huko Auschwitz. Pia alifanya kazi kama mkemia akizalisha gesi ya sianidi (gesi ya sumu) iliyotumika kuangamiza mamilioni ya Wayahudi na watu wengine katika moyo wa kambi ya maangamizo ya Auschwitz. Akihofia maisha yake baada ya vita, alikimbilia na kujificha kwenye kanisa la Katoliki (kanisa la kishetani) kisha akasimikwa kuwa mtawa miaka ya 1946. Na mwaka 1958, alisimikwa kuwa askofu wa Polandi mwenye umri mdogo zaidi. Baada ya siku thelathini za utawala wake na mauaji ya mtangulizi wake, alipewa wadhifa wa kuwa papa kama Papa Yohane Paulo II2 (papa aliyekuwa madarakani, 1990) na sasa anaongoza shirika katika Marekani, liitwalo Shirikisho la Wayahudi “the Jewish Federation” na moja ya matawi yake mengi, “the Cult Awareness Network” ambalo huteka na “kuwabadili misimamo” Wakristo na wahanga wengine. Cult Awareness Network ya Papa ni mwendelezo wa shirika la Hitler “Ministry of Cults”3 la kipindi cha Vita vya pili vya dunia, lililoundwa kuwaangamiza Wayahudi, ukristo na dini nyingine tofauti na Ukatoliki. Hitler na wafanyakazi wake wote, ikiwa ni pamoja na S.S. walikuwa wakatoliki. Walitaka dunia ya wakatoliki pekee.

Baadhi ya maluteni wa papa wenye vyeo vikubwa (wahalifu pia) wamekuwa wakijifanya marafiki wa mashirika ya kweli ya Wayahudi. Sababu ya udanganyifu huu kwa Wayahudi ni kuzidi kuueneza Ukatoliki na dunia-moja ya Kikatoliki na kanisa la kishetani lililounganika pamoja. Lengo lao pia ni kukuza chuki dhidi ya Wayahudi na Wakristo wa kweli duniani kwa kuleta mfarakano katika mashirika ya Kiyahudi na Kikristo ambapo hujipenyeza kijanja wakijidai wameguswa na wakiahidi malipo huku wakiwa na matumaini kwamba idadi kubwa ya watu dunia nzima watawashambulia Wakristo wote wa kweli na Wayahudi wakitaka waangamizwe ili Unazi wa Kikatoliki uendelee kubaki. Watu hawa wenye roho za kishetani wanaotaka dunia moja hawajakomesha tamaa yao ya kuwa na utawala wa Kikatoliki wa dunia-moja. Mashine yao ya propaganda (vyombo vya habari) inaendelea kuuinua upapa na kanisa moja la dunia la maovu na Umoja wa Mataifa “UN”, huku wakiwaponda wakristo wa kweli na Wayahudi wakati mawakala wa serikali wakiwanyanyasa na madai ya dhihaka, yaliyo kinyume cha katiba, ya kuwekelewa kwa kutumia wahalifu na kuwalipa watu waongo kutoa ushahidi dhidi ya viongozi wa kweli wa makanisa na watu wengine ambao maluteni hawa wa papa wanawalenga. Ni vigumu kuelewa ni jinsi gani wakristo, marabi wa Kiyahudi au myahudi yeyote wa kweli wanaweza kujihusisha na uongozi wa Nazi wa Katoliki, ambao umebainika wazi kwamba umeangamiza mamilioni ya Wakristo na Wayahudi pamoja na wengine wengi. Rabi Moshe Shonfeld anasema “Tokea siku tuliyokuwa uhamishoni kutoka Nchi Takatifu, Kanisa Katoliki limekuwa baya kwetu kuliko wafalme wote duniani. Hatua zake zote za kihistoria zilipatikana kwa damu ya Wayahudi.” Pia Rabi aliongeza, “Wakatoliki katika nchi zote zilizokuwa chini ya Wajerumani waliwachinja Wayahudi bila huruma, wakitiwa moyo na watawa wao. Wote walikuwa Wakatoliki shupavu, na wote hawakutosheka na damu ya Wayahudi.”4

Ni vigumu kuelewa jinsi akili iliyo na uwezo wa kufikiri inaweza kuelewa jinsi mapapa waliopotoka, kama Yohane Paulo II, wamewatia kasumba watu wengi kiasi hiki katika karne zilizopita, kufuata ibada hii ya kishetani ya manabii wa uongo na dini yao ya kutisha ya Ki-Nazi. Ni jambo gumu sana kuvunja Mkatoliki aliyetiwa kasumba kwamba papa ni Mungu kutoka katika imani hii anayoamini na kuifuata bila kujiuliza au kufikiria. Ni injili ya Yesu Kristo pekee, kutoka katika Biblia takatifu KJV (tafsiri la Kiswahili la The Bible League Waenezaji wa Neno La Mungu Tangu 1938), inaweza kuvunja laana hii ya kishetani ya kijinga na uoga wa kishetani wa kanisa hili la kisiri, la kishetani lisilo na uungu pamoja na kiongozi wake na kuiweka nafsi ya mwanadamu huru ili kumwabudu na kumcha Mungu aliye hai, kwa njia ya imani kupitia Mwana wake Yesu Kristo. Hii ndiyo sababu Vatican inajibidiisha kuwapiga vita wale wanaoiamini Biblia. Wanajua kwamba injili ya Bwana Yesu Kristo ndiyo kinga pekee dhidi yao.

KUONDOA MSAADA KWENYE SHUGHULI ZA SIRI ZA VATICAN

Wananchi wa Kiyahudi wenye hasira wameondoa misaada yao kutoka kwenye Shirikisho la Kiyahudi la papa. Rabi Abraham Cooper, mshauri mshirikishi wa Simon Wiesenthal Center, alijiuzulu wakati alikuwa katika utumishi. Viongozi wengine wa Kiyahudi nao walifuata nyayo zake tangu walipoelewa maana ya kujihusisha na Shirikisho la Wayahudi na PLO – ambalo pia ni moja ya mashirika ya siri ya Yohane Paulo II (Habari katika gazeti la Los Angeles Times, Machi 18, 1990, ukurasa 1B, lililoandikwa na Mathis Chazanov). Leo, mmoja wa washauri wakuu wa papa wa Katoliki ya Ki-Nazi ni Otto Ambros. Otto ni mhalifu wa Ki-Nazi wa Vita Kuu vya Pili vya Dunia (alihukumiwa katika kesi kule Nuremberg). Alihukumiwa kifungo cha miaka minane jela lakini alitumikia kifungo cha miaka mitatu tu kwa shitaka la utumwa na mauaji ya halaiki.5 “Papa wa vyombo vya habari,” Yohane Paulo II, mara kwa mara hutoa habari za uongo kama, “Nawatakia Wayahudi pole kwa majanga ya vita kuu vya pili vya dunia.” Ikiwa kweli anawaonea huruma Wayahudi, kwa nini hajaitambua Israeli kama taifa (kana kwamba kuna maana yoyote mhalifu huyu wa kivita wa Ki-Nazi anayejifanya mwanadini anakubali chochote).

Kiongozi huyu wa kidini ambaye ni hatari, mlokole, anayetafuta utukufu wake binafsi anakataa kuiita Israeli kwa jina lake sahihi. Anapenda kuiita Israeli “Palestina.” Hii ni kwa sababu ya mapenzi yake kutimiza matakwa ya PLO. Vatican (Kanisa la Shetani) daima limekuwa likidharau na limekuwa likiuonea wivu uhusiano wa karibu wa Wayahudi na Mungu, na kwa sababu Mungu aliwateua Wayahudi kuandika Biblia (Agano la Kale na Jipya) na aliwachagua Wayahudi kumleta Masihi, mwokozi wa ulimwengu. Kwa sababu hii, Shetani na kanisa lake (Vatican) aliwaangamiza Wayahudi na Wakristo (Wayahudi wa kiroho) kwa karne nyingi, hadi leo hii. Israeli ni Nchi Takatifu, si Palestina au Roma, na Mungu aliitoa Israeli kwa Wayahudi, na si papa, wala si Umoja wa Mataifa, wala PLO, au kundi lolote la kihalifu la Katoliki ya Nazi. Katika Biblia, imeonyeshwa kuwa Mungu atamkasirikia na kumwadhibu yeyote atakayethubutu kuwanyang’anya Wayahudi (Wateule wa Mungu) ardhi ya Israeli (Zekaria 12:2, 3 na 9, KJV). Mungu aliipa jina nchi ya Israeli na hilo ndilo jina la taifa la Wayahudi na litabaki hivyo daima. Siitambui Vatican, muunganiko wake wa madhehebu, au Umoja wa Mataifa kama chochote ila ushetani, na yeyote anayeitafuta haki ya Mungu hawezi kuikubali Vatican, muungano wake wa madhehebu ya kishetani au Umoja wake wa Mataifa, kuwa kitu tofauti na ushetani. Kwa nje Vatican inajaribu kuuigiza Ukristo kwa matukio ambayo hayapo kwenye Ukristo; pia mafundisho na matendo ya kikristo hayapo Vatican. Ukatoliki ni ukristo bandia, na kwa macho ya wakristo waliojifunza katika maandiko, hawaoni usawa wowote baina ya Ukatoliki na ukristo. Kila alicho nacho Mungu, Shetani amekitengenezea kitu bandia (batili) kinachofanana nacho, kwa hiyo uwe makini.

Kusini mwa Merano kulikuwa na bandari za Genoa na Roma, ambapo Vatican iliwasaidia Manazi kuficha nyaraka za uongo kwa ajili ya safari zao za meli kwenda Marekani, Kanisa katoliki liliwezesha mamia ya wahalifu wa kivita Manazi wa Kikatoliki na wapelelezi kutorokea Marekani na nchi nyingine.6 Mashirika makuu ya kuwatunza Manazi wahalifu wa kivita wa Kikatoliki yalikuwa ni makundi ya misaada ya kikatoliki katika Roma, na waligawa kazi ya usaidizi kulingana na utaifa wa wakimbizi. Walithuania walikwenda kumwona Mchungaji Jatulevicius kwa namba sita kule Via Lucullo, kwa mfano, wakati Padre Gallov akiwa thelathini na tatu Via dei Parione aliwasaidia watu wa Hungary, na Monsignors Dragonovic na Magjerec katika Istituto di St Jeronimus walikuwa wamesimamia misaada ya Croatia na kadhalika.7 Kadinali Casaroli, (sasa katibu mkuu wa jimbo la Vatican) wakati ule akiwa pamoja na Mafia wa Milan alishiriki kuwasaidia Manazi wa Kikatoliki waliowachinja watu kupata ndege za kutoroka Yohane Paulo II anaonekana tena akigushi hati za kusafiri za Manazi wahalifu wa kivita wa Kikatoliki8 kukimbilia Hong Kong, Mashariki ya kati, Marekani ya kusini, na duniani kote. Pia, Yohane Paulo II alikuwa mfuasi wa Montini ambaye alikuwa akifanya kazi na Mafia wa Milan  wandaaji wa uhalifu na CIA. Baadaye Montini alikuwa Papa Paulo VI.

Miongoni mwa watu muhimu katika mpango mkuu wa S.S. kuidhibiti Marekani kwa ajili ya Umoja wa Mataifa wa Kikatoliki ni Nazi Mkatoliki, Reinhard Gehlen. Alikuwa mwanachama wa chama kikuu cha Ujerumani [Great German General Staff]. C.I.A. ya Marekani iliundwa kwa kiasi kikubwa na Reinhard Gehlen na ikaendelezwa na O.S.S [office of strategic services] (Ofisi ya zamani ya Huduma za Mikakati), F.B.I., S.S. na mawakala wa S.D. (S.D. kilikuwa kitengo cha kukusanya habari za kiinteligensia cha S.S. kilichoanzishwa na Himmler, Mkatoliki mwingine). Ndiyo, nusu yao walikuwa Wamarekani na nusu wengine walikuwa Nazi-Katoliki wa Ujerumani. Huyu generali mkatoliki wa zamani wa Manazi ameitwa mwanzilishi mwenza wa C.I.A. 9 I.R.S. ni mkusanyaji kodi wa Vatican.
Wengi kati ya wakimbizi hawa wa Nazi na watoto wao, sasa wamechukua nyadhifa nyingi za juu katika serikali ya Marekani, mashirika yao, viwanda, vyombo vya habari, n.k.

RONALD REAGAN APOTOSHA MFUMO WA MAHAKAMA YA MAREKANI

Katika chakula cha mchana na wakatoliki, Ronald Regan aliinua mamia ya mahakimu wa Katoliki (wa Nazi) ambao aliwateua na kuwasimika10 kwenye mfumo wa mahakama wa Marekani, mmoja wao akiwa hakimu wa Arkansas, hakimu Arnold ambaye kihalifu, hakuruhusu kanisa letu kutoa ushahidi wake katika chumba cha mahakama yake Machi 1990; kama kawaida mashtaka yote yalikuwa ya kuwekelewa na ya uongo. Serikali iliwalipa waongo, wahalifu, makahaba na watumiaji wa madawa ya kulevya, kuwaruhusu kutoa ushahidi dhidi yetu. Kama ilivyotarajiwa tulishindwa (kwa sasa tuko kwenye rufaa). Mauaji makuu ya holocaust yanaendelea kama ilivyokuwa siku zile. Kama ilivyokuwa Ujerumani katika Vita Kuu vya Pili vya Dunia ndivyo ilivyo katika Marekani na Duniani kote hivi leo. Mpango wa Manazi wa Kikatoliki ulikuwa ni kuibadili sheria, sheria kuwa kinyume cha sheria. Serikali na mamlaka ya polisi yalikuwa yaundwe kama yalivyo leo katika Marekani na dunia nzima. Unaona sasa jinsi ilivyo vigumu kwa yeyote asiye mkatoliki au asiyeungana na kanisa moja la dunia kupata ushindi katika kesi siku hizi (wamewateka watoto wetu)?

Vita Kuu vya Pili vya Dunia havijaisha na hatukushinda (tulishinda mapigano wakati ule, lakini kwa hakika hatukushinda vita). Kama unaamini kuwa tulishinda vita na vimekwisha basi umeanguka kwa kujidanganya kama walivyotaka. Hebu tazama uchumi wa Ujerumani na Japan leo hii, kisha angalia uchumi wetu na uzorotaji uliokamilika wa vitu vyote vizuri katika dunia, kutokana na uvamizi wa vita vya wahalifu wa-Nazi wa Kikatoliki katika taifa letu wakitumia vitambulisho vyao bandia walivyopewa na Vatican. Manazi hawa wahalifu wa Katoliki wa vita walivuruga serikali yetu, makanisa yetu, shule zetu, familia zetu, watoto wetu, maadili yetu, fahari yetu, uadilifu wetu, uzalendo wetu na wanajitahidi kwa nguvu zote kuniharibu mimi na kanisa ninaloliongoza, kwa sababu tunayaanika maovu yao na tunahubiri Injili ya Bwana Yesu Kristo ambaye wanamchukia. Vyombo vya habari huwasaidia kueneza maneno ya uongo pamoja na upotoshaji wao wa kudhalilisha (hiyo ndio kazi yao na wanaifanya vema).

Mhalifu aliyepagawa Yohane Paulo II, alisema, “Usimwendee Mungu kwa ajili ya msamaha wa dhambi, njoo kwangu”11 (haya ni makufuru -Luka 5:21). Huyu ni kiongozi hatari sana wa dhehebu la Kanisa katoliki na wafuasi wake huamini kuwa yeye ni Mungu, lakini yeye ni kinyume kamili cha Mungu aliye hai. Ametawaliwa kabisa na ibilisi mwenyewe. Serikali ni serikali ya ibilisi, kanisa la dunia moja ni kanisa la ibilisi, na madhehebu yote yanayokataa kuhubiri ukweli kulingana na mambo haya muhimu ni ya manabii wa uongo wa ibilisi, kwa namna rahisi ni mgawanyiko wa kanisa la ibilisi.

Serikali na Makanisa yanayotawaliwa na Kanisa Katoliki yamepagawa kabisa (hii inathibitishwa na Biblia). Wendawazimu hawa wakatili wa Vita kuu vya Pili vya Dunia ndio wale waliosababisha mauaji ya Wayahudi wasio na hatia milioni sita na milioni nyingi za Wakristo na watu wengine wa dini tofauti na Wakatoliki.

RAIS BUSH NI MMOJA WAO

Hii ni habari mara baada ya kutolewa kwa fasihi hii, Rais Bush alikwenda kwa bosi wake, papa na alitoa tamko ambalo kwa namna fulani lilionekana kuwa la kustaajabisha; kwa kina alisema, “Hebu tuwasamehe Ma-Nazi wahalifu wa kivita.”12 Alifanya hivyo kwa sababu yeye ni mmoja wao, na anamtii papa na yuko tayari kushiriki kutimiza ndoto yao azimu ya dunia moja ya Katoliki ya Ki-Nazi na mamlaka ya shetani. Biblia imesema kuwa haya yatatokea siku za mwisho na tayari yameshatokea. Neno la Mungu linasema wazi kwamba hatamsamehe Shetani kamwe wala malaika zake (Ufunuo14:10-11, 20:10). Hili limeandikwa barabara katika Agano la Kale na Jipya na hakuna mjadala katika hilo. Mungu anataka hili likae ndani ya mioyo yetu na maisha yetu na akili zetu, hata wenye dhambi waliosamehewa wanatakiwa wasitende dhambi tena. Ikiwa Manazi hawa Wakatoliki wangetubu na kutotenda dhambi tena, Mungu angewasamehe (Yohana 5:14, 8:11) lakini, ni dhahiri kuwa Manazi hawa wa Kikatoliki hawajatubu kwa sababu wanafanya kitu kile kile ambacho baba zao, babu zao na vizazi vyao vya kale vimekuwa vikifanya. Bado wanaua, kutesa, kudanganya, na kuharibu kila kilicho kizuri na chema katika dunia. Ni kufuru kwa wanadamu kusamehe dhambi ya mauti (Luka 5:21). Tumeamriwa kusameheana sisi kwa sisi lakini si dhambi ya mauti (kuvunja amri kumi) (I Yohana 5:16). Mungu pekee ndiye anayeweza kusamehe dhambi kupitia damu ya Mwanawe Yesu Kristo. Kama tukichukua nafasi ya Mungu na kuwasamehe hawa Wakatoliki-Nazi wahalifu wa vita kwa mamilioni ya dhambi za mauti walizotenda basi itatupasa kufungua magereza yetu na kumwachilia kila muuaji awe huru na tutawapa vitambulisho bandia ili waweze kufanya kazi zao kwa siri, kama Wakatoliki-Nazi wafanyavyo, ili yeyote asiweze kuwatambua kuwa ni akina nani.

Tuna nyaraka nyingi kuhusu Rais Bush na sehemu yote ya utawala wake katika kuendelezwa kwa mauaji ya halaiki ya Wayahudi yaliyofanywa na Wakatoliki-Nazi.

Hawa ni wachache kati ya Nazi wahalifu wa kivita ambao walisaidia kumpigia Bush kampeni za urais; wote wamekuwa wakihusishwa na mauaji, vikosi vya mauaji, na shughuli nyingine za kigaidi. Pia wanahusishwa katika ubadilishanaji bunduki na madawa uliodumisha vita vya upinzani dhidi ya Nikaragua, Angola, Afghanistan, na Cambodia.

Mwenyekiti mwanzilishi na kielelezo muhimu katika Republican Heritage Groups Council alikuwa Laszlow Pasztor, mwanaharakati katika vyama vya kupigania haki vya Hungary na makundi yanayohusishwa na Katoliki-Nazi. Katika Vita Kuu vya Pili Pasztor alikuwa mwanachama wa kundi la vijana Arrow Cross, kikundi cha Ki-Hungari sawa na Chama cha Katoliki cha Nazi.

Nicolas Nazarenko: ofisa katika kitengo cha Katoliki Nazi Cossack SS na sasa mkuu wa kitengo cha GOP Cossack. Alitamka kuwa Wayahudi ni “Adui wake kiitikadi.” Bado ana elementi za Katoliki-Nazi zilizomo katika Marekani.

Florian Galdau: mwanachama wa Catholic Iron Guard na mwajiri mkuu wa Pwani ya Mashariki wa Catholic Iron Guard katika nchi ya Marekani.

Jerome Brentar: mfanyabiashara wa Cleveland ambaye aliongoza utetezi humu Marekani wa kambi ya kifo ya Treblinka ya walinzi Ivan Demjanjuk, Ma-Nazi wa Katoliki waliopatikana na hatia ya mauaji ya halaiki katika Israeli kipindi cha Kipupwa kilichopita. Moja ya wafanyakazi wenza wa Brentars alikuwa mkurugenzi wa zamani wa Mawasiliano ya Ikulu ya Marekani “White House” Patrick Buchanan ambaye kwa uchungu aliandika nyaraka kulaani kurudishwa makwao kwa Ma-Nazi-Katoliki.

Watu hawa walimsaidia pia Rais Nixon na Reagan katika kampeni zao za kugombea urais, na orodha inaendelea. Kuna mamia ya maelfu ya hao watu.13

Inafaa iwe rahisi kwako kuelewa ni kwa nini Rais Bush anakataa kusitisha vita vinavyoendelea dhidi yangu na kanisa langu. Jambo la kweli ni kwamba anazidisha vita dhidi yetu. Manyanyaso haya ya ukatoliki-Nazi yameendelea dhidi yangu na kanisa letu kwa miaka isiyopungua 25.

Pia utawala wa Bush, chini ya amri ya papa Yohane Pulo II unapandikiza madikteta wa kikatoliki katika nchi za dunia ya tatu kupitia C.I.A. (Rais Bush aliiongoza C.I.A. ya ibilisi mwaka 1976 na 1977, kwa ajili ya Vatican hapa Marekani.)

IMEDHIHIRIKA SASA, NA UNAPASWA KUTAMBUA KWAMBA CULT AWARENESS NETWORK NI DHEHEBU NA NI MWENDELEZO WA NAZI WA UJERUMANI “WIZARA YA DINI”!!

Wanachama wengi wa Papa katika chama kiovu cha Cult Awareness Network wamepatikana na hatia ya utekaji nyara, kushambulia, ubakaji, mateso na maovu mengine mengi. Papa Yohane Paulo II, Rais Bush, Uongozi wote wa White House “Ikulu ya Marekani” na Mashirika ya Serikali yanayodhibitiwa na Kanisa Katoliki, Seneta Robert Dole,14 na mkewe Elizabeth (mkuu wa idara inayofanyia Vatican kazi) wanajivunia sana Cult Awareness Network na the Jewish Federation Shirikisho la Wayahudi ( Shirikisho la Wayahudi si la Kiyahudi; Ni la Katoliki kabisa)15 kwa sababu linanyanyasa makanisa ya Kikristo kinyume na sheria na mahakama za kihalifu za katoliki, kwa kutumia Majaji wakuu wa Kikatoliki, wakiyagharimu makanisa kutumia dola mia elfu nyingi kujitetea dhidi ya mashitaka ya uongo na unyanyasaji unaofanywa na Papa, Marais na Dole.

MAJAJI WA MAREKANI YA LEO WANASEMA KINYUME CHA SHERIA NI SHERIA, JARIBIO LA NUREMBERG LINADHIHIRISHA MAFUNDISHO YANAYOJIRUDIA ZAIDI YA MIONGO MINNE ILIYOPITA.

Nakala za kesi katika mahakama ya Nuremberg zinatangaza kuanzisha mahakama (kufanya kinyume cha Sheria kuwa sheria) ya majaji wote wa Katoliki-Nazi hasa kama ilivyo katika Marekani ya leo. Hii imeonyeshwa kwa uwazi kwa kauli ya Joseph Goebbels (Joseph Goebbels bila shaka alikuwa na cheo cha juu cha msimamizi Katoliki-Nazi ya propaganda kwa ajili ya Vatican chini ya udikteta bandia wa Hitler). Maelezo ya Goebbels yalikuwa, “Hatukuwa halali kisheria ili tuhalalishwe lakini ili kukwea katika mamlaka, tulifufua nguvu kisheria ili tuweze kupata nguvu ya kufanya mambo kinyume cha sheria.”16

Biblia inaiita serikali moja ya dunia katika ulimwengu tunaoishi sasa Mnyama, aliyepewa mamlaka na joka. Biblia inasema kwamba joka ni ibilisi. Kanisa lililopewa mamlaka na joka ni Vatican. Kanisa la Shetani linatumia serikali-moja ya dunia kuangamiza kila kanisa linalokwenda kinyume nalo, kwa sababu Shetani anataka kuabudiwa kama Mungu na atalazimisha watu kufanya hivyo. Tulio Wakristo wa kweli tunakataa kuwa chini ya mamlaka ya Shetani. Hivyo basi ghadhabu ya Shetani inawaka dhidi yetu kupitia mashirika ya serikali ya kishetani na makanisa ya uongo ya Shetani.

Hatimaye, papa aliyepagawa na pepo, serikali na makanisa zitamlazimisha kila mtu kuchukua alama ya utiifu katika paji la uso wake au katika mkono na kutoa amri ya kuwazuia wale wote watakaokataa wasiweze kuuza wala kununua (Ufunuo 13:16 & 17) na wale watakaokataa kuiabudu sanamu ya mnyama (serikali ya kishetani) wauawe (Ufunuo 13:15). Neno la Mungu linasema, wale watakaoipokea alama ya shetani watateketezwa katika moto wa kuzimu milele (Ufunuo 14:9-11). Hili haliwapi watakatifu wa Mungu mbadala wowote zaidi ya kukataa na kuipinga kabisa sauti ya serikali hii, makanisa haya ya uongo na kiongozi wao wa kishetani aliyehukumiwa, kama tunataka kuingia mbinguni.

KWENDA CHINI YA ARDHI

Wakristo wengi watakwenda chini ya ardhi, kama ilivyonipasa kufanya hivyo hata sasa, ili tupate kuendelea kupambana na dhehebu hili kubwa linalotisha kwa kuhubiri Neno la Mungu. Kama ilivyo wakati huu, ninazidi kuwafikia watu kupitia upendo wa Mungu, ambao u katika Kristo Yesu, kwa kuonya na kuwasihi kwa jina la Mungu aliye Muumba wa mbingu na nchi na ukamilifu wake, kutubu dhambi zote na kuiamini injili, ambayo ndio ukweli pekee katika ulimwengu. Yesu anawajumuisha ninyi wakatoliki, dunia-moja na watu wa kanisa moja la ulimwengu ambao hawana elimu kuhusu uongozi wa dhehebu wanaloabudu. Kama unampenda Bwana, kama niwajuavyo wengi wenu mlio Wakatoliki, dunia-moja na watu wa kanisa moja la ulimwengu, fanyeni kama Mungu anavyoamuru, “Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, na msipokee mapigo yake” (Ufunuo 18: 4). Hizi ni nyakati za siku za mwisho. “Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu [kwa kufanya yote yaliyo mapenzi ya Mungu-maarifa kamili na uelewa na ufahamu wa mapenzi ya Mungu hupatikana pekee katika BIBLIA TAKATIFU (tafsiri la Kiswahili la The Bible League Waenezaji wa Neno La Mungu Tangu 1938] (asomaye na afahamu:) Kwa kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe. Na kama siku hizo zisingalifupishwa, asingeokoka mtu yeyote; lakini kwa ajili ya wateule zitafupishwa siku hizo. Ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu yatakapoomboleza nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi” (Mathayo 24:15, 21, 22 & 30). Ona leo jinsi watu dhalili wasiookolewa wasemavyo, “Tumeweza kuishi na kuona - amani na usalama !!” Lakini Neno la Mungu linasemaje? “Wakati wasemapo, kuna amani na usalama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa” (I Wathesalonike 5: 3).

Wanadamu wenzangu wapendwa (bila kujali rangi au dini), Yesu alikuja ulimwenguni humu kwa ajili ya mimi na wewe, kwa sababu tulikuwa tumepotea na kuwekwa chini ya mamlaka ya nguvu za Shetani. Lakini sasa unaweza kuwa huru dhidi ya nguvu za Shetani, kama mimi na mamia ya Wakristo wengine, tunavyopiga magoti faraghani mahali popote tunapokuwa, na kumwita Mungu aliye hai, ambaye hivi karibuni utakwenda kumwona uso kwa uso. Yesu hutuweka huru kutoka kwa Shetani na hutwambia kila jambo – lililo sahihi na lisilo sahihi, mema na mabaya, mwanga na giza, ukombozi kutokana na upotovu. Jinsi gani tusivyojali wakati Mungu Baba na Yesu, Mwana wake wa pekee, walivyotujali sisi, na amethibitisha hili kwa kufa kwa ajili yetu na kumwaga damu yake ya thamani kwa ajili yetu kama upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu. Kama ukiikubali kwa imani damu yake ndani ya moyo wako, utaokolewa. Hivyo basi, tafadhali sali sala hii ili upate kuokolewa usipotee kamwe. Kwa nini ufe? (Ezekieli 18:31). Kuna maisha katika Yesu Kristo (Yohana 14:6).

OMBI

BWANA wangu na MUNGU wangu, ihurumie roho yangu, mimi mwenye dhambi.1 Ninaamini kwamba YESU KRISTO ni mwana wa MUNGU aliye hai. 2 Ninaamini kwamba alikufa msalabani na kumwaga damu yake ya thamani ili nisamehewe dhambi zangu zote nilizozifanya hapo awali.3 Ninaamini kwamba Mungu alimfufua YESU kutoka kwa wafu kupitia nguvu za ROHO MTAKATIFU4 na ya kuwa ameketi upande wa kuume wa MUNGU kwa wakati huu akisikiliza maungamo ya dhambi zangu na haya maombi yangu.5 Ninafungua mlango wa moyo wangu na kukukaribisha moyoni mwangu, BWANA YESU. 6 Nioshe dhambi zangu kwa damu uliyoimwaga kwa ajili ya nafsi yangu pale msalabani Kalivari,7 hutanikataa, BWANA YESU, utanisamehe dhambi zangu na kuiokoa roho yangu. Ninalijua hili kwa sababu NENO LAKO, yaani Biblia linasema hivyo.8 NENO LAKO linasema hutamkataa yeyote na mimi nikiwemo.9 Hivyo ninajua umenisikia na umenijibu; na ninafahamu kwamba nimeokoka.10 Ninakushukuru BWANA YESU kwa kuokoa roho yangu na nitaonesha shukrani zangu kwa kufanya yale unayoniamuru na kwa kutotenda dhambi tena.11

Baada ya kuokoka, YESU alisema kuwa ni lazima kubatizwa kwa kuzamishwa kabisa kwenye maji mengi kwa jina la BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU.12 Kwa makini, soma Biblia ya KJV, tafsiri ya Kiswahili ya The Bible League, Waenezaji wa Neno la Mungu tangu 1938 na ufanye inavyosema.13

BWANA anakutaka uwaambie wengine kuhusu wokovu wako. Unaweza kusambaza makala ya Injili ya mchungaji Tony Alamo. Tutakutumia makala hizi bila malipo. Tupigie simu ama ututumie barua pepe kwa habari zaidi. Mshirikishe mtu mwingine na ujumbe huu.

Iwapo unataka dunia yote, iokolewe kama YESU anavyoamuru, basi usimwibie MUNGU zaka na sadaka zake. MUNGU alisema, “Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote [na dunia hii yote]. Leteni zaka [zaka ni asilimia 10 ya mapato yako yote] kamili ghalani, ili kiwemo chakula [chakula cha kiroho] katika nyumba yangu [roho zilizookolewa], mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi” (Malaki 3:8-12).

KUIELEZEA CHUKI SI CHUKI

Nchi na mashirika ya jimbo na shirikisho na vyombo vyao vya habari na mfumo wa mahakama katika kila taifa, kwa maelekezo kutoka Roma, bila ya shaka watasema Papa Mkimbizi/FUGITIVE POPE ni maandishi ya kupandikiza chuki. Watakuambia kwamba mimi ni adui yako kwa sababu nimeripoti mambo haya kwako, lakini kama mtume Paulo asemavyo, ndivyo nami nisemavyo, “Je! Nimekuwa adui wenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?” (Wagalatia 4:16). Kueleza ukweli, ili watu waweze kuiepuka mamlaka ya dunia chini ya uongozi katili wa Mwakilishi (Vicar) wa Shetani, na chuki na kanuni zake za kidikteta za Kirumi badala ya katiba yetu ya Kimarekani ya kumcha Mungu (ambayo ni sheria katika Marekani), ili watu wa mataifa yote waiepuke alama ya mnyama na mateso ya moto wa kuzimu – je, hii ni chuki? Yesu alisema kwamba, kusema ukweli ni upendo na ametuamuru kuyaendea mataifa yote, kuihubiri kweli; kwa maana Yesu alisema, “tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru” (Yohana 8:32). Tunapaswa kuwa na nia moja na Kristo ili tutende kile alichotenda Kristo. Yesu anaonya na kuwaamrisha wanafunzi wake dhidi ya makanisa na serikali za ibilisi. “Angalieni sana! Jihadharini na chachu [dhambi] ya Mafarisayo, [makanisa] na chachu [dhambi] ya Herode [serikali]” (Marko 8:15). Aidha unaweza kumwamini papa au mimi. Soma Biblia yako takatifu kwa umakini na utajua ni nani kati yetu yuko sahihi. Mwamini Mungu; Hebu tuvisitishe vita kuu vya pili vya Dunia, Hebu tuvikomeshe sasa. Kama tunakwenda kupata rais wa Marekani, utawala na mfumo wa mahakama, hebu na tupate kile kinachoamini katika uhuru ambao taifa hili limejengwa juu yake. Hii ni miaka ya tisini [90s]. Hebu turudi kwa Mungu; upya wa Kristo. Hebu tuwe na akili timamu, uadilifu na utaratibu, Hebu tumpate rais, utawala na mfumo wa mahakama ambao utatuambia ukweli na kutoa haki ya kweli, hukumu na usawa kwa wote—si kutuficha ukweli. Ndiyo, hebu turejee tuwe na akili timamu, uadilifu na utaratibu. Na hebu tujikwamue kutoka kwenye mafundisho ya uharibifu na sera za mpinga Kristo. Naweza na nitamsaidia yeyote anayetaka kufanya haya na nina hakika kwamba kuna mamilioni ya Wamarekani na watu wa mataifa mengine wanaojisikia hivyo. Tumeamriwa na Mungu kuharibu na kuzivunja nguvu zote za giza zinazojiinua dhidi ya Neno la Mungu (2 Wakorintho 10: 3-5). Na ninajua kwamba tumeshafanya hivyo, lakini tunapaswa kuendelea kufanya hivyo hadi Yesu atakapokuja duniani tena. “Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa” (Mathayo 24:13). SISI WATU, KATIKA UMOJA TUNASIMAMA, TUKIGAWANYIKA TUNAANGUKA. Na ninyi nyote mlio Wayahudi, watu wangu kulingana na mwili, hebu tumaanishe kweli kile tusemacho sasa, “KAMWE TENA.” Hatuwezi kujua jinsi ya kupambana na adui kama hatumjui adui yetu ni nani. Sasa tunamjua, “KAMWE TENA” – T.A


Swahili Alamo Literature

Tafadhali wasiliana nasi kwa habari zaidi au kwa vitabu vyetu vyenye mada nyingine ambazo unaweza kuvutiwa nazo:

Tony Alamo, World Pastor, Tony Alamo Christian Ministries Worldwide 

P.O. Box 2948, Hollywood, CA 90078

Namba yetu ya simu kwa ajili ya maombi na habari iliyo wazi kwa saa ishirini na nne ni: (661) 252-5686  •  Faksi: (661) 252-4362

Huduma ya Tony Alamo Christian Ministries Worldwide hutoa mahali pa kuishi pamoja na vitu vyote muhimu kwa maisha kwa wale walio Marekani ambao wanataka kumtumikia BWANA kwa mioyo yao yote, roho zao zote na nguvu zao zote.

Huduma yetu hufanyika jijini New York kila Jumanne, saa mbili usiku na mahali pengine kila usiku.

Tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba (908) 937-5723 kwa habari zaidi. CHAKULA HUTOLEWA BAADA YA KILA IBADA.

Tuma maombi ujipatie kitabu cha Mchungaji Alamo kiitwacho, The Messiah, kinachomwonesha KRISTO alivyo katika Agano la Kale kwa jumbe za unabii zipatazo 333.

Kuwa mmoja wa watumishi katika kuvuna roho za watu kwa kuwa msambazaji wa makala na vitabu vya Mchungaji Alamo

Machapisho yetu na jumbe kwenye tepu za sauti hayalipishwi kitu ikiwemo gharama ya kusafirisha kupitia meli.

Iwapo kuna mtu atajaribu kukulipisha, tafadhali tupigie simu kwa namba: (661) 252-5686.

MAKALA HIZI ZIMEBEBA MPANGO WA KWELI WA UKOMBOZI (Matendo ya Mitume 4:12)

USIZITUPE: ZIFIKISHE KWA MTU MWINGINE.

Kwa wale ambao mko kwenye nchi nyingine, tunawashauri kutafsiri makala hizi kwa lugha zenu. Iwapo mtachapisha tena, tafadhali jumuisha haki hii na usajili:

© Hatimiliki 1990, Januari, 2014 Haki zote zimehifadhiwa World Pastor Tony Alamo ® Imesajiliwa 1990, Januari, 2014
SWAHILI—Fugitive Pope


footnotes:

1. Watendaji wa I.G. Farben Kampuni ya Kemikali pamoja na Herman Goering, Heinrich Himmler, na Rein-hard Heydrich walipanga “suluhisho la Wayahudi” (aina gani ya gesi inayozalishwa na kutumika ku-waangamiza Wayahudi) return

2. 2 Treasons Peace, H.W. Armbruster, Beechhurst Press, kur 345-347; I.G. Farben, R. Sasuly, Boni & Gaer, kur128-129; Wall Street and the Rise of Hitler, A.C. Sutton, ’76 Press; World Watchers International, “The Brussell Tapes”; Information Network Against War and Fascism, tape “Auschwitz Pope”; Was Jonestown a C.I.A. Medical Experiment?, Michael Meiers, page 545 return

3. The Vatican’s Holocaust, Avro Manhattan, kur 32-104 return

4. The Holocaust Victims Accuse, Rabbi Moshe Shonfeld, kur 14 & 16 return

5. World Watchers International, “The Brussell Tapes”; The Crime and Punishment of I. G. Farben-J. Borkin; Information Network Against War and Fascism, Tape “Auschwitz Pope”; Deals-C. Moch & V. Virga, 1984, Crown Publishers; Battle Cry, Dec. 1983; Dally News, Jan 10, 1980-“There’s Corporate Hypocrisy on Nazi Connections” by Dan Dorfman. return

6. I.G. Farben-R. Sasuly, Boni & Gaer; World Watchers International, “The Brussell Tapes”; In­for­mation Network Against War and Fascism, tape “Auschwitz Pope”; Was Jonestown a C.I.A. Medical Experiment? - Michael Meiers, kur 17,18,19, & 32 return

7. Blowback, Christopher Simpson, ukurasa 179; Papa Yohane Paulo II hajatoa tamko lolote kuwapinga manazi, ni kwa sababu naye pia ni Nazi return

8. World Watchers International, “The Brussell Tapes”; Information Network Against War and Fascism, tape “Auschwitz Pope” return

9. Was Jonestown a C.I.A. Medical Experiment?—Michael Meiers, ukurasa 19. return

10. Kanisa na Serikali, Sept. 1986, kur 17-18 return

11. Gazeti la Los Angeles Times, Dec. 12, 1984. return

12. Gazeti la New York Times, April 14, 1990. return

13. Wa-Nazi wa kale, mkono wa kulia mpya, na utawala wa Reagan, Russ Bellant; mtandao wa habari dhidi ya Vita na serikali ya mrengo wa kulia inayowagandamiza watu, kampeni za Bush – Wafashisti wakiwemo return

14. Nukuu za maendelezo, Mkutano wa habari wa mbunge la Congress kuhusu mambo ya uzushi katika nchi ya Marekani, katika mwaka wa 1976 na pia Feb 5, 1979, Mwenyekiti, Seneta Robert Dole return

15. Cults and Con­se­quences, Rachel Andres; Nailed, Tony Alamo return

16. Jaribio la Uhalifu wa vita, Nuremberg Military Tribunals, Toleo la III, ukurasa 41. return


Prayer footnotes:

1. Psa. 51:5, Rom. 3:10-12, 23 return

2. Matt. 26:63-64, 27:54, Luke 1:30-33, John 9:35-37, Rom. 1:3-4 return

3. Acts 4:12, 20:28, Rom. 3:25, I John 1:7, Rev. 5:9 return

4. Psa. 16:9-10, Matt. 28:5-7, Mark 16:9, 12, 14, John 2:19, 21, 10:17-18, 11:25, Acts 2:24, 3:15, Rom. 8:11, I Cor. 15:3-7 return

5. Luke 22:69, Acts 2:25-36, Heb. 10:12-13 return

6. I Cor. 3:16, Rev. 3:20 return

7. Eph. 2:13-22, Heb. 9:22, 13:12, 20-21, I John 1:7, Rev. 1:5, 7:14 return

8. Matt. 26:28, Acts 2:21, 4:12, Eph. 1:7, Col. 1:14 return

9. Matt. 21:22, John 6:35, 37-40, Rom. 10:13 return

10. Heb. 11:6 return

11. John 5:14, 8:11, Rom. 6:4, I Cor. 15:10, Rev. 7:14, 22:14 return

12. Matt. 28:18-20, John 3:5, Acts 2:38, 19:3-5 return

13. Deut. 4:29, 13:4, 26:16, Josh. 1:8, 22:5, 2 Tim. 2:15, 3:14-17, James 1:22-25, Rev. 3:18 return