JE, IRS, FBI, IDARA YA KAZI YA MAREKANI, MAFIA NA VYAMA VYA WAFANYAKAZI NI SEHEMU YA VATICAN? JE, PAPA NDIYE KIONGOZI MKUU ZAIDI WA MAWAKALA WA SERIKALI ZOTE NA VILEVILE VATICAN?

Siri za Papa

na Tony Alamo

Vatican inajiwasilisha kama kanisa la kikristo la kiothodoksi (lenye imani kamili), lakini Biblia inasema kuwa ni malaya, “kahaba mkuu,” yaani, dini ya kishetani (Ufunuo 19:2).1 Inatumia matawi ya mawakala wa serikali katika kila nchi, ikiwa ni pamoja na Marekani. Inavyozidi kupata nguvu na udhibiti serikalini, ndivyo izidivyo kujificha pembeni ambapo haionekani ili serikali itumiwe na kulaumiwa kwa sababu ya matendo yake (Vatican) yote maovu.

SABABU: Kushurutisha sheria zinazonyanyasa, zinazosingizia, zinazoharibu, na kumkagua mtu yeyote na wazo lolote ambalo si la Ukatoliki wa Kirumi ili aweze kuketi kama malkia wa ki-shetani (kahaba mkuu).

Kwa sababu ya tamaa yake ya miaka mingi ya kutaka kutawala serikali ya dunia na kanisa la ulimwengu wote, Vatican iliyo mfano wa joka imeijaza dunia yote na serikali ya Marekani na watawa wake wengi wa kijesuiti wenye juhudi/ari, waliofunzwa kwa kiwango cha juu hivi kwamba inadhibiti Umoja wa Mataifa (ambao iliuumba),2 Ikulu ya Marekani, Bunge Kuu, kila jimbo [serikali], federal (sehemu ya serikali ya Marekani inayohusika na mambo ya fedha), serikali ya utawala wa miji (civic government), na mawakala wa serikali za mitaa, ikijumuisha Idara ya Kazi ya Marekani, IRS, FBI, Mahakama Kuu, mifumo ya kimahakama, majeshi, jimbo [state], federal (sehemu ya serikali ya Marekani inayohusika na mambo ya fedha) na polisi wengine, pia mfumo wa kibenki wa kimataifa na mifumo ya uhifadhi fedha za serikali (uitwao Illuminat Agenturi), vyama vya wafanyakazi,3 Mafia, na mengi ya mashirika makubwa ya vyombo vya habari yenye uzito Dini hii ya kishetani (Vatican) iko karibu sana kutoa katiba yetu ya Marekani na mahali pake kuziweka sheria zake za ulimwengu mmoja, za kikanoni (canon laws) za kifo kwa “mwasi” (yeyote asiye Mkatoliki wa Kirumi). Jenerali Lafayette, aliyekuwa mpambe (aide) na jererali wa Rais George Washington aliyeheshimika zaidi, kwa njia ya unabii alisema, “Kama uhuru wa watu wa Marekani utawahi kuharibiwa, wataangushwa kwa mkono wa viongozi wa dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Kirumi.”4

Leo tunaona kilele cha mipango ya kina iliyotolewa kupitia kwa dondoo zilizochukuliwa kutoka kwenye hotuba iliyotolewa takribani miaka hamsini iliyopita kule Australia na Askofu Mkuu Gilroy wa kanisa Katoliki la Roma:

“Kauli mbiu ya Ukatoliki wa Kirumi ni sisi peke yetu kwa ajili ya ndugu wenzetu Wakatoliki wa Kirumi. Ni lazima tuwashinde waasi wote [Wasio Wakatoliki wa Kirumi] katika sanduku la kupiga kura. Baba mtakatifu anasema mbinu hasi zina madhara mabaya sana. Matakwa ya baba mtakatifu [papa] ni kwamba huduma za kijamii zinapaswa kuwa za Ukatoliki wa Kirumi kwa asilimia mia moja (100%) hivi karibuni. Tahadhari lazima ichukuliwe ili pasiinuke tashwishi yoyote wakati Wakatoliki wa Kirumi wapewapo kisiri ajira zaidi serikalini kuliko Waprotestanti, Wayahudi na waasi wengine.”

Mamilioni ya watu wamechinjwa na Vatican, hivi ndivyo asemavyo Bwana (Ufunuo 18:24). Historia ina kumbukumbu za ukweli huu. Wakati wa Mahakama ya Katoliki ya Roma ya kukomesha uasi (heretics) huko Ulaya, watu milioni 68 waliteswa, wakafanywa vilema, na kuuawa na dhehebu hili kubwa.5 Siku ya Mauaji ya kinyama ya Mtakatifu Bartholomayo inawajibika kwa kuchinjwa kwa Waprotestanti wapatao 100,000.6 Rais Abraham Lincoln aliulaumu upapa kwa kufanya vita vya kiraia (civil war) kwa maneno haya:

“Vita hivi kamwe visingewezekana bila ushawishi mwovu na wa kisiri wa majesuiti. Tuna deni kwa upapa kwamba sasa tunaona ardhi yetu iliyofanywa kuwa nyekundu kwa damu ya vijana wake wema”. Lincoln akaongeza, “Ninaunga mkono uhuru wa dhamiri katika uzuri wake wote, kwa mapana yake yote, na urefu wake wote. Lakini siwezi kutoa uhuru wa dhamiri kwa papa na wafuasi wake, wanaupapa [wakatoliki wa Kirumi], kwa kadiri waniambiapo, kupitia mabaraza yao yote, wanatheolojia wao wote, na sheria zao zote za kikanoni (canon laws) kwamba dhamiri zao zinawaamuru kumchoma mke wangu kwa moto, kuwanyonga watoto wangu, na kunikata koo langu pindi wapatapo nafasi hiyo.”7

Kwa sababu ya Abraham Lincoln kuweka hadharani mambo machafu ambayo Vatican ilikuwa ikifanya, aliuawa kama alivyokuwa ametabiri hapo awali. Ndiyo, aliuawa na Majesuiti chini ya amri ya Roma.8 Vatican haijabadilika tangu enzi za Bwana Lincoln.

KOSA BAYA KABISA LA J.F.K

Wakati John F. Kennedy alipoulizwa na Vatican, “Je, uko tayari kufuata sheria ya kanoni ya Kirumi au Katiba ya Marekani?” Bw. Kennedy aliwajibu kwa kusema, “Katiba ya Marekani.”9 Hili lilikuwa kosa hatari kabisa la Rais Kennedy. Mauaji yake yaliamrishwa na Roma, kisha yakapangwa na kutekelezwa na Majesuiti, kama yalivyokuwa yale ya Rais Lincoln. Yeyote aliyejua mengi kuhusu kuuawa kwa Bwana Kennedy alishughulikiwa pia.

Wakati Marekani ilipopiga kelele wakitaka kufanyika kwa uchunguzi, Jaji Mkuu Earl Warren (Mwanachama wa kundi la siri la Knights of Columbus la Vatican) alipewa jukumu la kufanya uchunguzi huo. Alisema maneno mengi ya kipuuzi na kuburura miguu – kama alivyopaswa kufanya – na kisha, baada ya kipindi cha kutosha, upelelezi ulifungwa. Kama asemavyo papa, “Matendo hasi ni yenye mauti”. Kumbuka kwamba Rais Kennedy alikuwa mwanafunzi na mtu aliyemhusudu sana Abraham Lincoln na alikijua kile ambacho Bwana Lincoln alikijua.

Vita Kuu vya Pili vya Dunia, na majeruhi wake waliozidi vifo milioni thelathini (Maangamizi makuu kwa kuchomwa moto – Wayahudi milioni sita - holocaust),10 vilibuniwa na kufadhiliwa na Vatican – Hitler, Mussolini, na Franco wote waliokuwa wanachama wa kundi hili la kidini (dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Rumi)11 – kuifanya dunia iwe mfuasi wa Vatican, wala si wa Kristo, yaani mpinga Kristo.

Machafuko ya Amerika ya Kati na Amerika ya Kusini, unyanyasaji chini ya Mjesuiti aliyefunzwa Castro12 huko Cuba na pande zote za Caribbean, na ugaidi unaoendelea sasa huko Lebanoni na Ireland, ni kazi ya mikono ya Vatican. Je, sasa unaweza kuona ni kwa nini Mungu anaiita dini hii ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma mama wa kila chukizo juu ya nchi (Ufunuo 17:5)?

Vatican ilijua kuwa baada ya Vita Kuu vya Pili vya Dunia, watu wengi walikuwa wanafahamu ukweli kwamba vita hivi vilitokana na mahakama kuu ya Kikatoliki ya Roma ya kuwashitaki na kuwaua “waasi” (Vatican inquisition), hivyo basi ilibidi watumie moja ya mbinu zao maarufu za kuvutia macho kwingine na kufungua Jumuiya ya John Birch ili kumfanya kila mtu afikirie na kuuzungumzia Ukomunisti (ambao pia Vatican huufadhili) badala ya mhalifu halisi (Vatican). Jambo hili liliwapa mafanikio makubwa.

Vatican pia hufadhili kila kundi kubwa la kigaidi duniani. Sababu ya hili ni kuweka mawazo ya watu katika hali ya kufikiria kuhusu majanga yasiyoweza kueleweka, ya kiuwenda wazimu ambayo vikundi vyake vya kigaidi vinafanya wakati huo huo Vatican ikiwa inakazana kudhoofisha serikali zote za duniani ili waweze kuwa na mamlaka juu ya dunia (mamlaka ya upapa). Wakati habari za kigaidi zinapogonga vichwa vya vyombo vya habari, zinaogopesha sana kiasi kwamba zinafifisha habari za Vatican kuiondoshea mbali Katiba ya Marekani na kuwanyima watu uhuru wao wa kuabudu (wakitupwa magerezani, shule na makanisa yakifungwa). Ingawaje, jambo halisi ambalo Vatican inalitaka, ni udhibiti wa kidunia wa dini yetu na serikali yetu. Jinsi ugaidi unavyokuwa wa kichaa, bila busara, usioweza kueleweka, ndivyo unavyozidi kuifaidi Vatican. Vyombo vizito vya habari vya Vatican pia hukufanya ujishughulishe na mafikira ya ugaidi tu wakati wote. Kwa kuwa sasa utendaji kazi wao umewekwa hadharani, hivi punde  (kwa kutumia vyombo vyao vya habari na Rais wa Marekani, ambaye amejiunga nao hivi majuzi) watakuwa nguvu isukumayo kampeni ya kusitisha ugaidi (ambao wameutengeneza wao wenyewe) ili kumfanya kila mtu kuamini kuwa wao ni wema na wacha Mungu, na kwamba kamwe wasingeweza kufadhili kitu kama hiki. (Habari za hivi karibuni: kama vile Terry Weite alikuwa akifanya mapatano kule Lebanon.)

Jim Jones, shemasi Mjesuiti wa Ukatoliki wa Roma akijifanya Mkristo, alitolewa kafara (sio kwa kutiliwa sumu ndani ya maji ya matunda), aliuawa, pamoja na wafuasi wake na Vatican ili kuufanya ulimwengu uwe na mtazamo mbaya na uliojawa na tashwishi kwa Wakristo wasio na hatia.13

“Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu” (Mithali 6:16-19). (Haya mambo yote ambayo Mungu anayachukia, ndivyo ilivyo Vatican ya ki-ibilisi.)

Je, umeshawahi kubaini tukiwa na mfumo wa Forodha na Uhamiaji wa Marekani unaodhibitiwa na Vatican hatuwezi kutoka nje ya nchi hii bila ya kupitia hatua ya tatu ya upekuzi (upekuzi, rada, n.k.). Lakini katika miaka ya 1960, wakati Mjesuiti aliyefunzwa vilivyo na Vatican Timothy Leary14 alipowaongoza vijana wa taifa letu katika utumiaji wa madawa ya kulevya, Uhamiaji na Forodha walionekana kushindwa kwa wakati huo, kama wanavyoonekana sasa, kutambua maelfu ya paundi za madawa ya kulevya, na madawa mbalimbali ambayo huingia ndani ya taifa letu ambalo kwa wakati mmoja lilikuwa nzuri kupitia kwa Mafia, ambao wanawekeza mali haramu waliyopata kinyume cha sheria, (fedha zake zote za magendo) kupitia Vatican. Labda hii ndiyo sababu Rais Abraham Lincoln alisema, “Naona wingu jeusi mno katika upeo wa macho ya Marekani. Na wingu hilo jeusi linatoka Roma.”15

Tazama kile ambacho Biblia inasema kuhusu Mpinga Kristo aliyesababisha uchafu huu wote na kumwaga damu yote hii:

“Nikamwona yule mwanamke [Vatican] amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu” (Ufunuo 17:6).
“Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe” (Ufunuo 18:7).

“Hawa [serikali] wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.” Hiyo ni serikali moja ya dunia; miji na mawakala wa serikali wa kijamii na kiraia, serikali za majimbo na sehemu ya serikali ya Marekani inayohusika na fedha zikijumuishwa, zikiwezeshwa/kutiwa nguvu na Shetani, zikimpatia nguvu hiyo Mpinga Kristo kwa kutimiza amri zake (Ufunuo 17:13).

Hizi ni baadhi ya ishara za mwisho kabisa katika kitabu cha Biblia cha Ufunuo kabla Yesu hajarudi tena duniani na wala hapatakuwa na muda zaidi tena. Mungu aliiharibu dunia kwa maji,16 Sodoma na Gomora kwa moto na kiberiti.17 Katika matukio yote mawili, Mungu aliwatuma watumishi kuhubiri juu ya adhabu inayokuja. Leo Mungu katika rehema yake isiyo na kikomo anawaonya Wakatoliki wote wa Kirumi, “Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake” (Ufunuo 18:4). Kama wewe ni mmoja wa watu wa Mungu, kama Roho awapaye watu uzima amekuhuisha wewe kwa uzima wa milele, basi litii Neno kwa kutoka katika kanisa hili. Kwa nini? Kwa sababu, kutofanya hivyo ni uasi, na uasi ni sawa na uchawi.18

Mawakala wengi wa serikali ya Vatican na ya shirikisho kama vile IRS, OSHA, na Idara ya Kazi ya Marekani, pamoja na vyama vya wafanyakazi, kwa namna ya kushangaza wameharibu uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu kwa kusumbua na kusukuma mamia ya biashara na viwanda katika ufilisikaji na kutoka kwenye mfumo wa biashara.19 Hali hii imewaacha mamilioni ya Wamarekani bila ya kazi na wakiwa na njaa, wakati makampuni ya biashara ya Vatican yakiwa hayasumbuliwi kabisa bali yanashamiri, kwa sababu ni Vatican inayoendesha mashirika ya serikali. Tazama kile Mungu asemacho juu ya Mpinga Kristo wakati atakapotupwa Jehanamu:

“Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye [mpinga Kristo] aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme; Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake?” (Isaya 14:16-17).

MAKAMBI YA KAZI ZA UTUMWA YA VATICAN YAKUBALIWA NA FEDS

Mojawapo tu ya biashara nyingi za mabilioni mengi ya dola ya Vatican ni kambi zao zenye kazi za kitumwa za uuzaji pombe na mvinyo, ambazo hazina matatizo ya kikazi kwa namna yoyote ile kwa sababu wanawatumikisha watu kuwafanyia kazi bila malipo kinyume cha sheria (maelfu ya watawa wa Ukatoliki wa Roma). Mawakala hawa wa serikali ya shirikisho inayohusika na fedha hawawezi kumruhusu mtu mwingine yeyote kufurahia faida za kujitolea kumfanyia Mungu kazi bila malipo, Baba yetu, na Mwokozi wetu, Bwana Yesu Kristo kwa sababu sisi sote tu “waasi” (Wasio-Wakatoliki wa Kirumi). Ndiyo, biashara zao hufanikiwa bila madhara wala usumbufu wakitumia kazi bila malipo kwenye viwanda vyao vya pombe na mvinyo vya Christian Brothers (Ndugu wa Kikristo),20 La Salle, na Wabenedikti (kambi za kazi za kitumwa) na maeneo mengine mengi kuanzia Napa Valley, California, hadi jimbo la New York.

IRS ya Vatican na Idara ya Kazi ya Marekani sasa wanavuka ule mstari wa kikatiba unaotenganisha Kanisa na Serikali, na kwa namna yoyote ile, wanajaribu kuharibu makanisa halisi na shule za Kikristo ambazo zinafuata msingi wa Biblia. Njia mojawapo ni ya kuwanyima hadhi ya kupata msamaha wa kodi (tax exemption). Hata hivyo, taasisi hii ya IRS iliyo kinyume cha Marekani na Katiba ya Marekani, imetoa msamaha wa kodi (tax exemption) kwa taasisi zote za kikomunisti nchini Marekani chini ya Sheria ya Mapato ya Ndani 501 (c) 3. Hawajawahi kufanya jaribio lolote la kuwaondolea hadhi hii.21 Wakala wa Ukusanyaji Kodi wa Roma (IRS) pia umehakikisha kwamba dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma na wote wanaohusiana nayo (kanisa moja la dunia) ndiyo mashirika ya dini pekee nchini Marekani yasiyopaswa kulipa kodi ya mali au hata kodi ya biashara zao za mabilioni ya dola.22 Hili hufanyika chini ya Kipengele Na. 892 cha Sheria ya Mapato ya Ndani. Vatican ndiyo dini pekee inayopokea mamilioni ya dola ya msaada wa shirikisho kwa ajili ya shule zake za parokia.23 Hizi zinatoka kwenye fedha za kodi unayolipa. Kama Askofu Mkuu Gilroy asemavyo, “Sisi peke yetu kwa ajili ya ndugu zetu Wakatoliki wa Kirumi” na “Ni lazima tuwashinde wazushi wote.”

Vatican imetumia Chama cha Kikomunisti kusaidia kuharibu makanisa ya Ki-Orthodoksi ya Kirusi, na ilitumia Chama cha Manazi katika jaribio lake na kuwafutilia mbali Wayahudi na masinagogi yao. (Kwa sababu Vatican inasema kwamba wengine wote isipokuwa wao ni “waasi” – (wasio Wakatoliki wa Kirumi.)

IRS – SHIRIKA LA UKUSANYAJI KODI LA DINI YA KISHETANI YA ROMA

Majesuiti wa Ukatoliki wa Roma walianzisha mfumo wa benki wa kimataifa24 ulioitwa Illuminat Agentur (na waliwalaumu Wayahudi kwa jambo hili). Kauli mbiu ya Roma ni, “Yeye ashikaye mfuko wa fedha ndiye aendeshaye mataifa.” Vatican ilianzisha vita vyote (mahakama dhidi ya uasi) ili kuondoa waasi duniani (wasio-Wakatoliki wa Roma) na kisha ikayakopesha mataifa kutoka katika mabenki yake ili waweze kuwa na fedha za kutosha kupambana nayo. Kwa ujinga tuliruhusu wakala huyu wa ukusanyaji kodi wa dini ya kishetani kwenye nchi yetu (IRS – ambayo inawajibikia Roma tu).

Kwa mujibu wa sheria za Mungu katika Biblia, kila baada ya miaka hamsini kunapaswa kuwako na ufutaji madeni ambayo hayawezi kulipika (msamaha). Huu huitwa mwaka wa Jubilei (Mambo ya Walawi 25:10). Hebu tuzitupilie mbali sheria za kikanoni za dini ya kishetani ya Roma za kifo na utumwa na kuirudia sheria ya Mungu na Mwana wake, Yesu Kristo. Hebu tuwe na ufutaji (mwaka wa Jubilei). Madeni haya yamechochewa na Shetani (dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma) ili kutudhuru na kutuweka kwenye utumwa wa kifedha. Hatukuanzisha vita hivi, hatukutaka vita hivi, na hatukukopa fedha hizo. Sasa basi kwa nini itulazimu kuteseka? Vita hivi vyote vilikuwa vya mapambano ya Ukatoliki wa Roma dhidi ya waasi ili kuifinyanga dunia kuwa serikali moja, Kanisa moja na chombo kimoja cha habari.25

Katika kongamano la kanisa moja la dunia huko Vancouver, baadhi ya watenda kazi wetu wa kujitolea walishtushwa na vibanda na maandiko yanayounga mkono mapenzi ya jinsia moja (ushoga), mabanda na maandiko yanayounga mkono uchawi, ulevi, na udhalimu, ambapo dini hii kubwa ya “kiulimwengu” ya kizushi hutukuza haya. Watu hawa wa kishetani humwita kila anayehubiri Neno la kweli, ambalo ni kujitenga na uovu, kujiweka wakfu kwa ajili ya mema26 – wanaiita dini au kundi la kishetani. Lakini wanaabudu taasisi hii ya ulimwengu mmoja na kiongozi wake wa kishetani, papa...

“…yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe [papa ajaye hivi karibuni] kuketi katika hekalu la Mungu [Yerusalemu], akijionyesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu” (2 Wathesalonike 2:4).

“…yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake Shetani, kwa uwezo wote, na ishara na ajabu za uongo; na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea” (2 Wathesalonike 2:9-10).

Huwa wanapiga magoti na kubusu pete na nyayo zake27 na wanamwita “baba mtakatifu” jambo ambalo linakatazwa katika Biblia.28 Wanatii kila matakwa yake. Kwa kutuita sisi dini ya kishetani, ambao twaenenda katika Roho na kutii kila mapenzi ya Mungu, inawezekana wamefanya dhambi isiyosamehewa- dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu- ambayo haisamehewi kwenye ulimwengu huu na hata ule ujao (Mathayo 12:31-32). Lakini Shetani hajali kwa sababu yeye tayari alishamkufuru Roho Mtakatifu.

ALAMA YA MNYAMA

Shetani anataka maisha yako yaishie Jehanamu pamoja naye.29 Na ili kukufanya utumbukie kwenye moto wa milele, tazama kile anachokipika kwa sasa kupitia mawakala wa serikali za majimbo na wanaohusika na mambo ya fedha: utekelezaji sheria wa serikali inayofanya iwe ya muhimu wewe kupokea chapa katika mkono wako au paji la uso wako ili uweze kuruhusiwa kununua au kuuza (hili linaweza kufanyika bila kuonekana kwa kutumia kifaa kiitwacho leiza kitoacho mionzi). Mungu huiita alama hii “alama ya mnyama” (Ufunuo 19:20). Vatican itaipa alama hii majina mazuri kama “alama ya amani, upendo, umoja, ushirika, n.k.” Na Mungu anasema kama tutapokea alama hii, tutakwenda Jehanamu (Ufunuo 14:9-11).

Papa, kiongozi mkuu zaidi, na mawakala wake wa serikali ya shirikisho na majimbo atasema kuwa, kama hatupokei chapa hiyo tutazuiliwa (hatuwezi kununua au kuuza). Nitamtumaini Mungu kunilisha, kama Alivyowalisha wana wa Israeli katika Jangwa la Sinai kwa miaka 40. Na Mungu atatenda mambo ya ajabu tena kwa wafuasi wake waaminifu ambao humpinga papa, mawakala wa serikali yake, na ile alama.

Pia Rais Reagan alisharogwa na hila za Vatican kama ilivyo kwa viongozi wengine duniani. Hii inafanyika dhahiri kwa sababu ya utumaji wake wa ghafla wa balozi wa Marekani katika jumba kuu la kikahaba la Roma (ofisi ya nyumbani na makao makuu ya dini hii ya kishetani).

Bw. Rais unatembea sana na hao Majesuiti waliofundishwa, wahubiri wa kanisa moja la dunia, na wanakupatia ushauri mbaya kabisa. Je, ni fedha nyingi za Vatican na msaada mkubwa wa Vatican unaokusababisha kuwa sehemu ya dini hii ya kishetani? Je, utauza roho yako ya milele kwa kujiunga wewe mwenyewe na taifa letu kwa Mpinga Kristo kwa ajili ya fedha na mamlaka ya muda tu?

Bwana anauliza, “Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake [iliyo ya milele]?” (Marko 8:36). Kwa kufanya hivi, sasa umejiingiza mwenyewe kwenye shida kubwa dhidi ya Mungu aliye hai, usipoinyoosha njia yako na kuenenda sawa na kukana hadharani maamuzi yako ili Mungu na jamii wajue hasa pale unaposisimia.

Bw. Rais, kwa heshima, katika jina la Yesu, nakwambia maneno haya. Tuko katika nyakati za mwisho, na siku ya mwanasiasa imekwisha. Sote tunapaswa kuwafanya watu wajue kile kilicho ndani yetu. Biblia inasema kwamba yeye achukiaye maonyo ya Neno la Mungu ni kama mnyama (Mithali 12:1). Bw. Rais na marais na wafalme wa dunia, kuna hukumu kwa kila mmoja wetu, na ninaamini inakuja kwetu upesi sana.

MWISRAELI WA KWELI HUMWAMINI MUNGU

Mimi si mwanatheolojia wa seminari. Mimi ni Mwisraeli wa kweli, nimeoshwa kwa damu ya Yesu, nimejazwa Roho Mtakatifu, na kutumwa na Bwana kumhubiri Yesu aliyesulubiwa, akafufuka, yu hai, na punde atarudi duniani tena.30 Ninayo mamlaka kamili kutoka Mbinguni kuhubiri hili.

Mwisraeli wa kweli ni yule amwaminiye Mungu, jambo ambalo Wayahudi wengi hawaamini, kwa sababu wanamkataa Masihi kwa kuyakataa zaidi ya maandiko 300 katika Agano la Kale yanayoeleza juu ya Masihi. Baadhi ya Waisraeli wameamini na kuligeukia kundi hili la kidini (Ukatoliki wa Roma). Vatican ilitaka wawe ma-rabi ili waweze kuwaweka katika bunge la Israeli kama wapelelezi. Baadhi ya hawa ma-rabi wa Kijesuiti wa Roma leo wapo kama wapelelezi.

Katika Vita Kuu vya Pili vya Dunia, Poland ndiyo iliyokuwa nchi imara iliyotawaliwa na Vatican. Iwapo Vatican inawapenda Wayahudi sana kwa namna hiyo – hapo kabla na sasa – kwa nini iliruhusu makambi ya wafungwa ya mauaji ya Wayahudi walio wengi kuwa huko Poland? Kwa nini Vatican iligushi ule waraka wa Chuki dhidi ya Wayahudi, “Itifaki za Wazee wa Sayuni” [Protocols of the Elders of Zion] ukilaumu matamanio ya Vatican kutawala dunia juu yetu sisi Wayahudi? Kwa nini ililaumu [Vatican] mipango ya hila ya wahusika wa benki za kimataifa wa Vatican, Illuminat Agentur juu yetu sisi?31 Na kwa nini Vatican iwe na wapelelezi wanaojifanya ma-rabi kwenye Bunge la Israeli iwapo dini hii ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma, iliyo kinyume cha Wayahudi inawapenda sana Wayahudi kwa namna hiyo? Mungu anasema:

“Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako” (Isaya 3:12).

Wakati wa ujio wa mara ya pili wa Masihi ni sasa, hivyo tubu sasa au uangamie,32 hili linamaanisha umkubali Masihi na upatanisho, ambao ni damu yake aliyoimwaga kwa ajili ya dhambi zako,33 au uangamie, kumaanisha utakwenda Jehanamu kama hutamkubali.34

Kuna viongozi wa kidini ambao wanawaongoza mamilioni ya watu kwenda Jehanamu kwa sababu ya uhusiano wao na Mpinga Kristo na utukuzaji wao wa Mpinga Kristo na dini yake ya kishetani, “kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;” (1 Timotheo 4:2). Baadhi yao ni makasisi wa kijesuiti wakijifanya kuwa Wakristo. Wao na taasisi zao wametuzwa kwa kiasi kikubwa na Roma ili kuongoza makundi makubwa ya wafuasi ambao hawana shauku wala kujua kwamba wanaingizwa ndani ya kanisa la kiulimwengu la Shetani, ambaye ana mpango wa baadaye kwao wote kuwekewa alama ya mnyama35 kwa jina la ushirika wa Kikristo, udugu, amani, vipaji, na upendo. Kwa urahisi watu wamekuwa wakiongozwa kwenye kundi hili la dini ya kishetani ya Vatican na kudhani wako sahihi “kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa” (hawakulifuata neno la Mungu kwa usahihi). Kwa sababu hiyo, Mungu “awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo; ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu (mfumo mzima uliowekwa na Mpinga Kristo)” (2 Wathesalonike 2:3-12).

Viongozi hawa wadanganyifu hupenda fedha za kanisa Katoliki la Rumi na uhusiano wake wa kisiasa. Vatican huwafanya waonekane kwenye televisheni za kitaifa na kimataifa, na husaidia kujenga himaya ndogo za muda kwa ajili yao na majina yao, kama vile mitandao ya televisheni, vyuo vikuu, vijiji, na shughuli batili za kibiashara zinachokulikuwa kuwa ni ushirika wa Kikristo. Mungu anasema:

Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo, Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti” (Mithali 21:6).

Viongozi hawa huutukuza upapa na kuuunga mkono. Humtembelea papa mara kwa mara huko Roma na huwajumuisha makasisi wa Ukatoliki wa Rumi katika shughuli zao nyingi za kijamii na kuwaruhusu bila aibu kwenye matangazo ya televisheni na redio zao. Wanamhimiza Rais Reagan kuhamishia taifa letu kwa Mpinga Kristo (Vatican). Vatican huwadhamini, na wao huidhamini Vatican kwa sababu wote wako sawasawa (waongo). Kwa urahisi unaweza kuwaona, nadhani unajua ni akina nani (Hebu washa televisheni yako).

Ombea wafuasi wao vipofu kwa sababu wana“tumainia maneno ya uongo, yasiyoweza kufaidia” (Yeremia 7:08), na kwa viongozi hawa wa vipofu ambao “hawatasema kweli; wameuzoeza ulimi wao kusema uongo” (Yeremia 9:5), kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, Yesu amesema, wote watatumbukia shimoni kwa sababu hawaoni (Luka 6:39). Pia Yesu alisema:

“…waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti (Ufunuo 21:8). Na hawataingia mbinguni kwa kuwa “Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya” (Ufunuo 22:15), kwa sababu wanafanana naye (Shetani) aliyemdanganya Hawa na sasa ulimwengu wote (kila aina ya mauti ilianza kwa uongo).36

Yesu hakuja kuleta amani, bali upanga (Mathayo 10:34). Alikuja kutuonesha tofauti kati ya nuru na giza, wema na uovu, ukweli na uongo, na mwili wa Kristo na Mpinga Kristo. Alisema, kondoo wangu waijua sauti Yangu, na hawataweza kumfuata mwingine (Yohana 10:3-5; Ufunuo 14:4). Je, waisikia sauti ya Yesu au sauti ya Papa? Je, wewe ni mmoja wa kondoo wa Yesu au mbuzi wa Mpinga Kristo?37 Je, unapenda kusikiliza uongo au ukweli (Neno la Mungu)?

Wengi wenu mmemwunga mkono Mpinga Kristo kwa kutoa zaka kwenye taasisi hizi. Mwungeni mkono Kristo, na si Mpinga Kristo, la sivyo mtakwenda naye Jehanamu ileile kwa kuuunga mkono uongo. Mawakala wa siri wa Vatican wajifanyao Wakristo wanakwenda kwenye makanisa mbalimbali ya Kiprotestanti kukusanya fedha ili kujengea hekalu huko Yerusalemu kwa ajili ya Mpinga Kristo (Hekalu la Sulemani), na Wakristo wasio na ufahamu, ambao wanadhani si kinyume cha uchaji Mungu kudanganywa kama ilivyokuwa kwa Hawa, wanatoa fedha kwa ajili ya jambo hilo, badala ya kuwa waangalifu na wenye busara na wacha Mungu na kutoa zaka kwa kazi za Kikristo za kweli. Yesu alisema, “Watu wangu wanaangamizwa [wanakwenda Jehanamu] kwa kukosa maarifa” (Hosea 4:6).

Wasemaji wa Ukatoliki wa Roma hukasirika wakati Neno la Mungu linahupobiriwa na husema kwamba “hawawezi kuamini kwamba katika siku hizi na nyakati hizi bado kuna watu wanaohubiri chuki, mwegemeo mmoja wa mawazo, na chuki bila sababu, n.k.” Hata hivyo, kitu hasa ambacho mabalozi hawa wa Vatican wanasema, ni kwamba hawawezi kuamini, katika siku hizi na nyakati hizi, kuwa bado kuna watu wanaolihubiri neno la Mungu, lililo kweli, na kwamba kuna watu wenye ujasiri wa kumfichua Shetani (yaani wao). Makanisa ya kimadhehebu yaliyorudi nyuma ambayo yamejiunga na Vatican husema kwamba “hakuna mahali popote katika Biblia, ambapo Mungu au Mwana wake, Yesu Kristo, alijibu, au aliamuru watoto wao kujibu.”

Katika Biblia – kutoka katika kitabu cha Mwanzo hadi kitabu cha Ufunuo – Mungu, Mwana wake Yesu Kristo, mababa wa imani, manabii, wafuasi, na mitume walimjibu Shetani katika kila jambo, wakati wowote mafundisho ya uongo yalipowajia.38 Tunaamriwa na Yesu kutumia upanga (Neno la Mungu) kutetea na kulinda Injili kwa kumjibu Shetani (katika kila hatua) kwa ari na ujasiri.39 Tumeamriwa kujibu dhana zenye makosa za Shetani (kuligeuza Neno) kama Yesu alivyofanya wakati Alipomjibu Ibilisi katika Mlima ule wa Majaribu (Mathayo 4:3-11).

Paulo, kwa njia ya Roho Mtakatifu, alisema, “lihubiri neno,” Neno lote (2 Timotheo 4:2). Usiyaache kando maandiko yanayohusu Mpinga Kristo, manabii wa uongo, kujibu [unapoulizwa], kukemea na kukaripia. Yesu alisema kwamba tunaishi (kwenda Mbinguni) kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Mungu aliye hai (Mathayo 4:4). Hii humaanisha maneno kuhusu Mpinga Kristo, manabii wa uongo, n.k. kwa sababu Yesu alisema pindi tujuapo kweli (ukweli wote, kila neno), kweli itatuweka huru (Yohana 8:32). Lakini Mpinga Kristo na manabii wake wa uongo hawataki uwe huru kwa sababu mkubwa wao ni Shetani, apendaye kuwaweka watu kifungoni. Ikiwa hawataki watu wawe kifungoni, basi kwa nini wanakasirika sana kwa namna hiyo wakati Neno la Mungu linapohubiriwa (ambalo lakuweka huru mbali na Shetani)? Na kwa nini wayaite mahubiri ya Neno kamili jambo ovu, la chuki, yenye mwegemeo mmoja wa mawazo, na chuki bila sababu kama hawatoki kwa Shetani?

Mpinga Kristo na manabii wake wa uongo husema kwamba hatupaswi kufanya chochote- kuhusiana na kumtumikia Mungu - kwa shauku. Wanasema kushika na kutenda amri za Mungu, kuhubiri na kulitekeleza Neno la Mungu kwa shauku ni dhambi. Lakini katika kitabu cha Ufunuo, Yesu anatuamru kuwa na juhudi ama sivyo atatutapika kutoka kinywa mwake (Ufunuo 3:16). Juhudi na ujasiri (shauku) ni sheria ndogo za Mungu na za Mtiwa mafuta wake. Tumeamrishwa tufanye kila tufanyalo, kama twamfanyia Bwana (Wakolosai 3:23) kwa moyo wote (Mathayo 22:37), kwa juhudi (ari). Na ikiwa watu wanakwazika na Neno la Mungu (lolote), Mungu anasema watu hao ni waovu (kama wanyama). Na pia Mungu anasema kwamba kukwazika au kukataa neno lake ni dhambi.40 Kulikataa Neno la Mungu ni kumkataa Kristo, na kukubali (imani) kwetu Neno la Mungu, ambalo ni Kristo, ndipo twapata kuokolewa. “Mwamini Bwana Yesu [Neno], nawe utaokoka pamoja na nyumba yako” (Matendo 16:31).

Vatican, kupitia Mafia wake, kwanza kabisa waliharibu maadili ya nchi kwa maelezo na picha za kingono [ponografia], ukahaba, madawa ya kulevya, utengenezaji na usambazaji wa vileo, n.k. Sasa kwa kupitia matendo ya kitawa ya uongo, inajaribu kuleta sheria za kudhibiti uchafu ambao yenyewe iliutengeneza kwenye taifa letu na duniani kote.

Huu ndio udanganyifu wa dini hii ya kishetani, yaani njia inayochukiza ya kukufanya uamini kuwa yenyewe ni nzuri, yenye maadili safi, isiyo na waa na ya kitauwa. Hili pia ni jaribio lake la kwanza la kudhibiti duniani kote.41 Kusudio lake la pili katika kudhibiti huku litakuwa kuzuia hotuba zote, ikijumuisha Biblia – isipokuwa kwa namna inavyotaka Biblia ihubiriwe, ambavyo hasa ni kinyume cha Biblia.42 Dini hii inajua kuwa dunia haijatambua mbinu zake za kishetani za utendaji wa mambo, na kwamba dunia – ambayo haijatambui kwamba yeye (Vatican) ndiye aliyetengeneza uchafu huu wote na ukosefu wa maadili – itamshangilia na kumwabudu kwa sababu ya tendo hili “zuri”. Huku ni kumrubuni kila mtu asiyeijua na asiyejua njia zake zilizo mbali na Bwana na zinazoielekea yenyewe (Vatican).

Mpango wake wa siku za usoni alionao kwa watu hawa vipofu ni Jehanamu. Mateso hupenda ushirika, na Shetani na wafuasi wake hawataki kuchomeka peke yao. Wanakutaka wewe, [yaani] moyo wako mpendwa, ushiriki mateso ya Jehanamu pamoja nao milele.43 Je, ungetaka kile watakacho kwa ajili yako? Au ungetaka kile Yesu alichoandaa kwa ajili yako, ambacho ni furaha ya milele pamoja Naye mbali na uovu wote, mbali na udanganyifu wote, na mbali na uwezekano wa aina yoyote ile ya madhara?44

SAWAZISHA MAMBO NA MUNGU

Usiishi kwa ajili ya ulimwengu huu usio wa kudumu, ni wa muda mfupi tu.45 Panga maisha yako ya baadaye ya milele kwa kujifunza kuhusu mpango wa Muumba na Mtawala wa ulimwengu alioufanya kwa ajili yako – kwa kuukataa mpango huu dhahiri wa kishetani wa dini ya kishetani wa kuitawala dunia kwa kutumia Ibilisi na dini yake ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma ambao ni ubatili mtupu na wa muda mfupi sana.46 Ikiwa hutafanya hivyo, utamdhihirishia Mungu kuwa wewe ni wa kishetani na mkaidi kama huyu Ibilisi anayejiita mwakilishi wa Mungu, “mungu” mwenyewe hapa dunia. Sawazisha mambo yako na Mungu kabla hujachelewa (kama ilivyo sasa kwa Ibilisi). Moshi wake kutoka Jehanamu utafuka na kupaa milele na milele (Ufunuo 14:11).

“Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu” through the blood of Jesus (Isaya 1:18).

Mungu kwa upendo wake, alimtuma yule aliyempenda zaidi aje afe kwa ajili yetu (Mwana wake). Yesu alitupenda upeo kiasi ambacho alitoa uhai wake na kumwaga damu yake kwa ajili yetu, ili dhambi zetu ziondolewe na tusamehewe.47 Ikiwa twapenda kama vile Mungu na Mwanawe Kristo Yesu, walivyotupenda, basi tutaziacha dhambi zetu na njia zote mbaya za  maisha yetu ya kale, na kujifunza neno la Mungu kwa usahihi, na kuisambaza kweli yake katika dunia hii ambayo imekuwa ikidanganywa kwa muda mrefu sana – ili nao waweze kuwa na uzima ambao Mungu na Mwana wake wameutoa bure. Lakini, wanawezaje kujua pasipo mhubiri (si mwumini mpya, bali yule ambaye amejifunza njia zote za Bwana)?48

“…bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha Bwana kimenena haya” (Isaya 1:20).

Kama unapenda kuokolewa omba sala hii, nawe utaokoka:

BWANA wangu na MUNGU wangu, ihurumie roho yangu, mimi mwenye dhambi.1 Ninaamini kwamba YESU KRISTO ni mwana wa MUNGU aliye hai. 2 Ninaamini kwamba alikufa msalabani na kumwaga damu yake ya thamani ili nisamehewe dhambi zangu zote nilizozifanya hapo awali.3 Ninaamini kwamba Mungu alimfufua YESU kutoka kwa wafu kupitia nguvu za ROHO MTAKATIFU4 na ya kuwa ameketi upande wa kuume wa MUNGU kwa wakati huu akisikiliza maungamo ya dhambi zangu na haya maombi yangu.5 Ninafungua mlango wa moyo wangu na kukukaribisha moyoni mwangu, BWANA YESU. 6 Nioshe dhambi zangu kwa damu uliyoimwaga kwa ajili ya nafsi yangu pale msalabani Kalivari,7 hutanikataa, BWANA YESU, utanisamehe dhambi zangu na kuiokoa roho yangu. Ninalijua hili kwa sababu NENO LAKO, yaani Biblia linasema hivyo.8 NENO LAKO linasema hutamkataa yeyote na mimi nikiwemo.9 Hivyo ninajua umenisikia na umenijibu; na ninafahamu kwamba nimeokoka.10 Ninakushukuru BWANA YESU kwa kuokoa roho yangu na nitaonesha shukrani zangu kwa kufanya yale unayoniamuru na kwa kutotenda dhambi tena.11

Baada ya kuokoka YESU alisema ni lazima kubatizwa kwa kuzamishwa kabisa kwenye maji mengi kwa jina la BABA na MWANA na ROHO MTAKATIFU.12  Kwa makini soma Biblia ya KJV na toleo la Kiswahili la The Bible League - Waenezaji wa Neno la Mungu tangu 1938 na ufanye kama zinavyosema.13

BWANA anakutaka uwaambie wengine kuhusu wokovu wako. Unaweza kusambaza makala za Injili ya mchungaji Tony Alamo. Tutakutumia makala hizo bila malipo. Tupigie simu ama ututumie barua pepe kwa habari zaidi. Mshirikishe mtu mwingine ujumbe huu.

Iwapo unataka dunia yote iokolewe kama YESU anavyoamuru, basi usimwibie MUNGU zaka na sadaka zake. MUNGU alisema, “Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote [na dunia hii yote]. Leteni zaka [zaka ni asilimia 10 ya mapato yako yote] kamili ghalani, ili kiwemo chakula [chakula cha kiroho] katika nyumba yangu [roho zilizookolewa], mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi (Malaki 3:8-12).


HAPA KUNA SIRI ZAIDI ZA PAPA

Vatican ina siri nyingi kiasi ambapo mapadri, masista na washirika katika ngazi ya chini ya uongozi wa dini yao na watu wanaofanya kazi katika ngazi ya chini ya mawakala wa serikali ya mashirikisho hawajui kwamba wao ni sehemu ya taasisi hii kubwa duniani ya dini ya kishetani na kwamba madawa ya kulevya, ukahaba, maelezo na picha za kingono [ponografia], vileo, na biashara za magendo – kila aina ya kitu kichafu – vinaweza kurejewa kutokana na Vatican na mawakala wa serikali yake.49 Wanaotoka katika dini hii kubwa ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma, wamesema kuwa asilimia 68% ya viongozi wa dini wa Vatican wana hatia ya ushoga [mapenzi ya watu wa jinsi moja], usagaji, na uasherati. Matendo haya yote ni machukizo kwa Mungu na yatapeleka nafsi zao Jehanamu wasipotubu.50 Katika zama zote, watu wengi maarufu wameiita Vatican “mtaro wa maji taka ya ufisadi.”

Kasisi mjesuiti wa zamani wa ngazi ya juu aliyefanya kazi Vatican kwa miaka mingi na aliyekuwa akiwajibika tu kwa papa alinipa ripoti kuwa wakati papa wa sasa, Yohane Paulo II, alipokuwa kasisi wa Krakow, Poland, wafanyakazi wa kiwanda walimkasirikia papa ajaye (Yohane Paulo II). Iliripotiwa kwamba wengi wa wafanyakazi wa kiwanda hicho walitaka kumwua, na walisema kuwa hawataki waone akiwa karibu nao tena. Na kama angekuja karibu nao, wangemtupia matambara yenye mafuta machafu kwa sababu kulikuwa na taarifa kuwa alikuwa akiwanyanyasa watoto wao wadogo kingono. Pia walitoa taarifa kuwa yeye (kwa sasa Papa Yohane Paulo II) ni shoga. Jambo hili huelezea kanuni zote mpya za serikali ya shirikisho ya Vatican kuhusiana na kutowatenga mashoga.

Katika kitabu kinachohusu mapenzi (matamanio) alichokiandika Papa Yohane Paulo II wakati alipokuwa kasisi, mara nyingi alimnukuu Sigmund Freud kana kwamba alikuwa akinukuu Maandiko Matakatifu. Sigmund Freud, Myahudi ambaye aliongoka na kuwa mkatoliki, anajulikana sana kama mtu aliyepotoka zaidi duniani. Shetani, kwa kupitia serikali moja ya ulimwengu ya Vatican, kanisa na vyombo vya habari walimwinua pamoja na nyanja yote ya kisaikolojia ili afutilie mbali maneno “dhambi” na “hatia”. Hivyo baadayeVatican ingeweza kutumia wanasaikolojia na wataalamu wa magonjwa ya akili kuwapeleka kwenye taasisi za magonjwa ya akili watu wanaokiri kuwa na imani katika matendo ya Mungu yasiyo ya kawaida kwa wanadamu, hapo zamani na hata sasa. Wanasaikolojia hawa na wataalamu hawa wa akili pamoja na vyombo vikubwa vya habari vilivyo chini ya Vatican, daima humkejeli (humkebehi) yeyote anayeiweka wazi dini hii ya kishetani kwa kupitia Neno la Mungu, ambayo Mungu huiita “kahaba” katika kitabu cha ufunuo, na yeyote asimamaye katika Neno la Mungu ambalo hujumuisha amri za Kristo za kufufua wafu, kuponya wagonjwa, kutoa pepo, kuzaliwa mara ya pili, kumpinga na kumdhihirisha Ibilisi (kahaba wa Ufunuo). Upotoshaji wa Yohane Paulo II na Freud unakwenda sambamba na anavyokiri papa kwenye kitabu chake.

Kwa vile sasa amefanikiwa kuwa katika “kiwango cha juu kabisa cha kazi” (mtawala wa dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma na mawakala wa serikali ya shirikisho), anaweza kutunga sheria kwa jinsi anavyofikiri. Sasa anatamani sisi tuishi katika njozi zake kwa kutunga sheria zinazolazimisha vijana wa kiume na wa kike kutumia vyoo vilevile katika mabweni ya vyuo. Ubongo wake uliopotoka unafurahia aonapo wanadamu wakishurutishwa na sheria kufuata mtindo wake wa matendo yasiyo ya kawaida na yasiyoweza kukubalika. Sheria hizi mpya za kikanoni za Roma za upotoshaji na mauti zinatekelezwa na mawakala wake wawili wa serikali ya shirikisho waitwao Idara ya Makazi na Maendeleo ya Mijini na Idara ya Elimu,51 ambao wanaonekana kuwa rasmi sana, na kuwafanya wawe na uwezo wa kujificha katika shughuli zote za Vatican wakivaa taswira ya uongo ya kuwa na misingi ya ki-orthodoksi au imani halisi ya Kikristo.

Katika vita vya kiroho kati ya Mungu na Shetani, tunafurahi na kushangilia kwa sababu Yesu alisema, “…thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu” (Mathayo 5:12). Sisi ndio taasisi asilia na imara zaidi ya Ki-orthodoksi ya Kikristo duniani (na tunajivunia sana ukweli huu).

Baadhi ya mashirika ya uchapaji ya uongo ambayo yanajishuhudia uongo (baadhi kwa namna ya ulaghai hata huchapisha Biblia) na hayamsikilizi Yesu, aliyesema, “Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo” (Luka 3:14), wametujumuisha katika vitabu vyao vinavyohusu dini za kishetani. Kwa sababu ya uongo wao dhahiri, na kwa sababu ya ulazima wa kushikilia uadilifu wa kazi ya Bwana, tulilazimika kuchunguza machapisho haya ya maovu na yenye madhara, na kwa kweli, tuligundua kuwa yanaendeshwa na Majesuiti wa dini ya kishetani ya Vatican.

Ni nini maana yake, ninyi kuwaonea watu wangu, na kuseta nyuso za maskini? Asema Bwana, Bwana wa majeshi” (Isaya 3:15).

Hivi hujui “cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna” (Wagalatia 6:7)? Mungu atakutendea zaidi yale uliyowafanyia wengine. “Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.” “mimi nitalipa” (Warumi 12:19, Waebrania 10:30).

Tunafurahi na kushangilia kwa sababu thawabu yetu ni kubwa kwa sababu ya uongo waliotunenea sisi (Yesu alisema hivyo) (Mathayo 5:11-12).

Mawakala wa serikali ya shirikisho ya Vatican na vyombo vyake vikubwa vya habari (kwa pamoja) pia wamefanya iwezekane kwetu kuwa na shangwe kuu na thawabu nyingi Mbinguni, kwa sababu kwa pamoja wametufikisha mahakamani kwa mashtaka ya uongo na wameanzisha kampeni za kutuchafua52 zilizo endelevu kwa muda wa miaka kumi na mitano. Chini ya uchunguzi, tulibaini vyombo vikubwa vya habari,53 na kwa kweli, mawakala wa serikali waliotanguliwa kutajwa, kwa siri hudhibitiwa na/au kumilikiwa na Vatican. Yesu, twakushukuru wewe na kukutukuza kwa kutuonesha ukweli huu, na kwa kutuhakikishia tuzo yetu iliyo hakika kabisa. Mtunga Zaburi, Daudi anaandika:

“Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya Bwana, Na juu ya masihi wake. Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupia mbali nasi kamba zao. Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka. Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake” (Zaburi 2:2-5).

MALIPO YA KUOGOFYA KWA WALE WANAOPIGANA DHIDI YA MUNGU

Wajumuishe kwenye maombi yako hawa wote wanaopigana na Mungu, na Mwana wake, Yesu Kristo, na Roho Mtakatifu, na mtiwa mafuta wa Mungu, kwa maana kama wakiendelea, yapo malipo ya hakika ya kuogofya kwa ajili yao. Sisi, kama Baba yetu aliye Mbinguni, na Mwana wake Yesu Kristo, hatutamani yeyote yule aingie Jehanamu. Hii ndiyo maana tunawafundisha watu wote kuomba kwa jina la Bwana Yesu Kristo ili waweze kumpata Kristo kama Mwokozi wao binafsi na kuanza kutenda mema kwa kumtumikia badala ya kufanya kazi za udhalimu zisizozaa matunda, ambazo mwisho wake ni Jehanamu na hukumu ya milele. (Hatuombi kwa ajili ya Ibilisi au kwa ajili ya wale waliomkufuru Roho Mtakatifu, hatuombi kwa ajili ya hao [1 Yohana 5:16]). Kanisa letu limepanuka na kuwa na nguvu zaidi kama Yesu alivyosema, tutakuwa hivyo kwa kupita katika mateso. Kama Mungu aliupenda ulimwengu kwa kiasi hicho, sisi tusiupende? Taarifa hii ya kufunua/kufichua ukweli inaandikwa kwa upendo ili nafsi zenye thamani zisidanganywe na Vatican na washirika wake tena, kwa kupokea alama ya mnyama, na kwenda Jehanamu.54

Kila aliyefichua ukweli kuhusu dini hii ya kishetani (dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma) na washirika wake, kwa mujibu wa historia na hadi leo, amekuwa akiitwa mwasi, mharibifu, mtu hatari, asiyeeleweka, mwenye mawazo yaliyoegemea upande mmoja kidini na amekuwa windo kwenye kampeni kubwa za kumharibia jina.

Pia wanasema kuwa akili zetu zimejaa tuhuma/shaka ambazo hazina msingi wowote dhidi ya Vatican. Je, Abraham Lincoln na John F. Kennedy nao walikuwa na tuhuma zisizo na msingi  dhidi ya Vatican? Na mamilioni ya watu leo ambao wamenyanyaswa na kusumbuliwa na mawakala wa serikali ya shirikisho na jimbo ya Vatican, ukiongeza wale wasio na kazi na wenye njaa (wengine wakiwa magerezani kwa sababu walilazimishwa kuiba kwa ajili ya kujinusuru na njaa), je, wote wana tuhuma/shaka ambazo hazina msingi wowote dhidi ya Vatican?

Kwa sababu ya taarifa hii inayoweka wazi mambo yasiyofaa, dini ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma watajifanya kana kwamba wao (kati ya watu wote) ndio wanateswa, na watasema kwa unyenyekevu wakijifanya hawana hatia, “Kwa nini haya yanatokea kwetu?” huku wakijua kuwa wale wasiojua mambo wanayoyafanya watajawa na huruma juu yao. (Simwonei huruma Ibilisi). Sikuandika neno la Mungu, bali nalihubiri. Mungu hachukii yaliyo mema, ila maovu tu.55

Vatican na watu wake wote wanastahili tuzo ya kitaaluma ya uigizaji ya Oscar kwa utendaji bora wa kujifanya haina hatia na ile ya ucha Mungu, na pia kwa uwezo wake wa kujipodoa na mtindo wa mavazi, unaofanya mwonekano wake wa nje uwe kama ule wakanisa halisi la Ki-orthodoksi. Ndani ya mavazi yake yenye Weupe wa Theluji kuna madonda mabaya ya kufisha na minyoo. Kwa nje inatabasamu vizuri na kusema, “Ndugu, nakupenda,” lakini nyuma ya mgongo wake imeficha mikono iliyokonda itiririkayo damu ya mashahidi wa imani.56

Hapa kuna mfano wa jinsi Vatican inavyojificha daima. Wakati ilipoona Vita Kuu vya Pili vya Dunia (mauaji mengine ya halaiki ya watu yaliyopangwa na Vatican) inashindwa, kwa haraka ilijificha, katika tukio moja, baada ya kuwaua Wayahudi milioni sita, iliwachukua Wayahudi elfu moja na kusema, “Tuliwaficha na kuwalinda Wayahudi; tunawapenda Wayahudi”. Huu ndio ukweli halisi wa kile Vatican ilichofanya.

Tukizungumzia tuzo ya kitaaluma, Vatican imekuwa katika nyanja ya uigizaji filamu kwa muda mrefu sasa.57 Hollywood imekuwa ikikumbwa na ushawishi wa kundi lenye nguvu la Ukatoliki wa Rumi, likitupatia filamu kama vile “Wimbo wa Bernadette, [The Song of Bernadette]” “Naiendea Njia Yangu, [Going My Way]” na filamu nyingi zinazosisimua zikiitukuza dini hii ya kishetani ya Ukatoliki wa Rumi. Kwa upande mwingine ilisaidia filamu kama vile “Elmer Gantry”, ikionyesha wainjilisti wa kiprotestanti waliopotoka. Je, unakumbuka kipindi cha “Dragnet” kwenye luninga [televisheni]? Yule Mkristo kila wakati alikuwa akionekana akiwa na Biblia kubwa, akitabasamu baada yakumnyonga bibi yake katika chumba cha juu.58 Na daima makasisi walionekana kuwa walioheshimiwa sana, na nyota wa sinema waliolipwa fedha nyingi, kama vile Bing Crosby na Barry Fitzgerald. Unaona, tunagongwa kisaikolojia kila upande na Vatican (kiongozi wa kanisa moja la dunia na serikali zote duniani).

Ikiwa inaendelea na jukumu lake la kujifanya kanisa la Kikristo la Kiorthodoksi, Vatican inatumia vyombo vyake binafsi vya habari kuhamasisha propaganda katika kipindi kinachoendelezwa kwa zaidi ya masaa matatu katika kituo cha CBS, cha kumpaka rangi nyeupe mungu wake wa udongo, yaani kiongozi wa dini hii ya kishetani. Nina uhakika lile tukio la kutupiwa matambara yenye mafuta machafu halikujumulishwa kwenye maandishi haya.

Kuna watu wengi wazuri katika dini hii ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma ambao si matajiri, baadhi hata ni masikini sana, na wasiotafuta nyadhifa za juu. Wengi wao ni wapole na wanyenyekevu. Watu hawa wa kawaida hawajui kabisa maovu ambayo yamekuwa na yangali yanayofanywa na dini hii ya kishetani ya Ukatoliki wa Roma, ambayo wamekuwa wakiambiwa ni kanisa. Kwa sababu Mungu anaijua mioyo yao minyoofu (Yeye ni Mungu wa mioyo yetu), anawaambia watu hawa wasio na ufahamu “Tokeni kwake, enyi watu wangu” (Ufunuo 18:04). Basi tuwaombee ili watoke mapema.

Ukumbusho mkali kwa kiongozi mkuu wa kishetani (papa) ambaye huisimamia nyumba ya kikahaba ya pale Rumi na serikali zinazompa mamlaka, utawala wako ni wa muda mfupi sana, ndivyo asemavyo Bwana.

“…kwa kuwa katika saa moja utajiri mwingi namna hii umekuwa ukiwa” (Ufunuo 18:17).

“Na moshi wake hupaa juu hata milele na milele” (Ufunuo 19:3).

“Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo” (Ufunuo 16:13).

Ukuhani wa Kiyahudi uliishia pale Kalvari;59 hakuna sehemu katika Biblia inayooyesha Mungu aliwapa mamlaka ya ukuhani Waitalia, Wapolandi au jamii ya watu wengine tofauti na Wayahudi. Na katika kabila kumi na mbili za Wayahudi, Mungu alitwaa Makuhani kutoka katika kabila la Lawi pekee.60 Jambo hili laonesha kuwa Vatican haikuwa sawa na Maandiko Matakatifu na inaishi katika ulimwengu wa njozi na imani ya kujifanya. Yesu aliposema, “imekwisha,” pale pale Yesu alifanyika Kuhani Mkuu pekee (Yohana 19:30).61


Vatican inataka kuhama kutoka Roma kwenda Yerusalemu. Septemba 26, 1973, jarida la “Houston Chronicle” liliripoti kuwa mwanasiasa mwenye-njaa ya madaraka, Henry Kissinger aliisaidia dini hii kuu ya kishetani (Vatican) kwa kupendekeza “kwamba Yerusalemu uwe mji wa kimataifa wenye mamlaka juu ya maeneo matakatifu na utawala wa kidini ukabidhiwe kwa Papa.”

Biblia kamwe haitaji pagatori, wala sehemu inayofanana na hiyo, lakini Biblia inasema waziwazi, “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27). Na Mungu alisema, ama ni Mbinguni au Kuzimu, hakuna la ziada.62 Huwezi kununua njia yako ya kwenda mbinguni, vile vile huwezi kununua njia yako ya kutoka  Jehanamu.

Hakuna sehemu katika Agano Jipya inayosema tuwaue watu wasioamini jinsi sisi tuaminivyo. Hata hivyo, Vatican huyaita mauaji hayo “vita takatifu” na huyapa kibali, ikithibitisha tena kwamba yenyewe ni dini ya kishetani na isiyo ya kimaandiko matakatifu kabisa.

Miaka hamsini iliyopita, Askofu mkuu Gilroy alisema:

“Kwa sababu ya uthibiti wetu wa Kikatoliki wa ofisi ya posta, idara ya posta ina uwezo wa kuchunguza waliko watu fulani wasio wakatoliki wa Kirumi [yaani, waasi] kuhusiana na harakati zao na hali zao kadha wa kadha. Na wakati tuwapo na watu katika udhibiti huu kwenye ofisi zetu za posta na katika huduma yenu, hatupaswi kuwa na hofu kwamba askari wetu wa siri watagunduliwa kwa uhalifu wanaoutekeleza.”

Kwa kujua mambo haya, ni dhahiri kwa nini idara ya posta kwa sasa inajaribu kuondoa hadhi yetu ya kutuma barua kwa wingi. Kwa namna iliyo kinyume wanagandamiza uhuru wa kujieleza na uhuru wa dini, ambazo ni haki zetu mbili za mwisho za kikatiba ambazo kwa haraka na kimya kimya Vatican inajaribu kuzifutilia mbali. Mawakala wa majimbo na shirikisho, pamoja na vyombo vyao vya habari na mifumo ya kimahakama katika kila taifa, chini ya maagizo kutoka Roma, kwa hakika watasema kwamba “Siri za Papa” ni maandiko ya “chuki”, na watakuambia kuwa mimi ni adui yako. Lakini, kama Mtume Paulo alivyosema, nami nasema vivyo hivyo, “Je! Nimekuwa adui wenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli??” (Wagalatia 4:16).

Kusema ukweli ili watu waweze kuepuka utawala wa dunia chini ya uongozi wa kikatili wa Mwakilishi wa Shetani, pamoja na chuki yake na kanoni zake za kidikteta za Kanoni za Kirumi, badala ya Katiba yetu ya Marekani ya uchaji Mungu (ambayo ni sheria hapa Marekani), na hivyo basi watu wa mataifa yote waiepuke alama ya mnyama, na moto wa Jehanamu – hiyo ni chuki? Yesu alisema kwamba, kusema kweli ni upendo na hutuamuru kwenda kwa mataifa yote kuihubiri kweli,63 kwa kuwa Yesu alisema, “tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru ” (Yohana 8:32).

Unaweza kumwamini Papa au mimi. Nimekufunulia siri hizi chache za Papa. Mungu alisema kuwa taasisi ya papa ni mama wa kila aina ya machukizo duniani, si asilimia 99% ya machukizo, bali kila aina ya machukizo.64 Soma Biblia yako takatifu toleo la “THE BIBLE LEAGUE – Waenezaji wa Neno la Mungu tangu 1938 [KJV]”, na tazama kama nasema ukweli ama hapana. Mwamini Mungu. “Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka” (Matendo 16:31).


Swahili Alamo Literature

Tafadhali wasiliana nasi kwa habari zaidi au kwa vitabu vyetu vyenye mada nyingine ambazo unaweza kuvutiwa nazo:

Tony Alamo, World Pastor, Tony Alamo Christian Ministries Worldwide 

P.O. Box 2948, Hollywood, CA 90078

Namba yetu ya simu kwa ajili ya maombi na habari iliyo wazi kwa saa ishirini na nne ni: (661) 252-5686  •  Faksi: (661) 252-4362

Huduma ya Tony Alamo Christian Ministries Worldwide hutoa mahali pa kuishi pamoja na vitu vyote muhimu kwa maisha kwa wale walio Marekani ambao wanataka kumtumikia BWANA kwa mioyo yao yote, roho zao zote na nguvu zao zote.

Huduma yetu hufanyika jijini New York kila Jumanne, saa mbili usiku na mahali pengine kila usiku.

Tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba (908) 937-5723 kwa habari zaidi. CHAKULA HUTOLEWA BAADA YA KILA IBADA.

Tuma maombi ujipatie kitabu cha Mchungaji Alamo kiitwacho, The Messiah, kinachomwonesha KRISTO alivyo katika Agano la Kale kwa jumbe za unabii zipatazo 333.

Kuwa mmoja wa watumishi katika kuvuna roho za watu kwa kuwa msambazaji wa makala na vitabu vya Mchungaji Alamo

Machapisho yetu na jumbe kwenye tepu za sauti hayalipishwi kitu ikiwemo gharama ya kusafirisha kupitia meli.

Iwapo kuna mtu atajaribu kukulipisha, tafadhali tupigie simu kwa namba: (661) 252-5686.

MAKALA HIZI ZIMEBEBA MPANGO WA KWELI WA UKOMBOZI (Matendo ya Mitume 4:12)

USIZITUPE: ZIFIKISHE KWA MTU MWINGINE.

Kwa wale ambao mko kwenye nchi nyingine, tunawashauri kutafsiri makala hizi kwa lugha zenu. Iwapo mtachapisha tena, tafadhali jumuisha haki hii na usajili:

 © Hatimiliki 1983, 2006, 2012, 2013, 2014  Haki zote zimehifadhiwa Mchungaji wa Ulimwengu, Tony Alamo  ®Registered 1983, 2006, 2012, 2013, 2014
SWAHILI—The Pope’s Secrets


footnotes:

1. Ufu. 17:1-5, 15return

2. Vatican Imperialism in the 20th Century, Avro Manhattan, ku. 167-170 return

3. The Vatican Imperialism in the Twentieth Century, Avro Manhattan, uk. 162return

4. 50 Years in the “Church” of Rome, Charles Chiniquy, uk. 483 (kwa toleo asilia lisilofupishwa 1886, linapatikana kama PDF uk. 342)  return

5. Smokescreens, Jack Chick, uk. 35 return

6. History of the World in a Christian Perspective, Vol. II, A Beka, 1981, uk. 352 return

7. 50 Years in the “Church” of Rome, Charles Chiniquy,ku. 498 & 503 (kwa asilia lisilofupishwa 1886, linapatikana kama PDF ukr. 352, 355)  return

8. 50 Years in the “Church” of Rome, Charles Chiniquy, uk. 512 (kwa toleo asilia lisilofupishwa 1886, linapatikana kama PDF uk. 361)  return

9. Vatican USA, Nino LoBello, Trident Press, ku. 79, 161-166 return

10. Information Please Almanac, 1982, uk. 98 return

11. Smokescreens, Jack Chick, uk. 19 return

12. Smokescreens, Jack Chick, uk. 35 return

13. Double Cross, Chick Publications return

14. PBS Late Night Interview with Timothy Leary, Julai 1983 return

15. 50 Years in the “Church” of Rome, Charles Chiniquy, uk. 510 (kwa asili, toleo lisilofupishwa 1886, linapatikana kama PDF uk. 359) return

16. Mwa. 6-7 return

17. Mwa. 19:24-25 return

18. 1 Sam. 15:23 return

19. The Vatican Billions, Avro Manhattan, ku. 214-215 return

20. The Vatican Billions, Avro Manhattan, uk. 182 return

21. Hadi mwaka 1987 taasisi zote za kikomunisti zilikuwa hazilipi kodi. Sasa, kwa sababu ya return

22. 22 Vatican USA, Nino LoBello, uk. 87 return

23. Vatican USA, Nino LoBello, uk. 79 return

24. Vatican USA, Nino LoBello, ku. 45-47 return

25. Dan. 7, 8:23-25, 2 Thes. 2:3-12, Ufu. 12:12-17, 13; 14:8-11; 15:2; 16:13-14,16,19; 17; 18; 19:1-3, 11-21; 20:1-4, 7-10 return

26. Zab. 97:10; Rum. 12:9; 1 Kor. 10:21; 2 Kor. 6:14-18; Efe. 5:3-12; Yak. 4:4; 1 Yoh. 1:5-6 return

27. The Crisis of Church and State, 1050-1300, Brian Tierney, Prentice-Hall, uk. 49 return

28. Mat. 23:9 return

29. 1 Pet. 5:8; Ufu. 12:11-12 return

30. Mat. 10:7-8; 28:18-20; Mk. 16:15-20; Luk. 24:46-48; Mdo. 1:8-11; 10:38-43; 1 Kor. 1:17-24; 2:1-5; 9:16-17; Kol. 1:25-29; 2 Tim. 4:1-2 return

31. A History of the World, Hugh Thomas, Harper-Row, uk. 498; na Germany 1866-1945, G. Craig, Oxford, uk. 84 return

32. Yoe. 2:28-32; Mat. 24:3-51; Luka 21:7-36; 2 Tim. 3:1-5; 2 Pet. 4:7, Ufu. 6:12-17; 14:6 return

33. Mat. 26:28; Rum. 3:22-26; 5:8-21; Kol. 1:13-14,20-23; Ebr. 9:11-14; 10:5-17 return

34. Mith. 15:24; Mat. 3:12; 13:24-30, 37-43, 47-50; 22:13-14; 24:42-44, 48-51; Lk. 3:17; 6:19-31; 13:26-28; Ufu. 20:11-15 return

35. Ufu. 13:15-18; 14:8-11; 15:2; 16:1-2; 19:20; 20:4 return

36. Mwa. 3:4-5 return

37. Mat. 25:31-46; Yoh. 10:1-16, 26-28 return

38. Mat. 4:3-11; 16:21-23; Ufu. 22:18-19 return

39. Efe. 4:27; 6:17; 2 Thes. 2:14-15; 2 Tim. 1:13; Tito 3:10; Ebr. 4:12; Yak. 4:7 return

40. Eze. 20:21-24; Zek. 7:11-13; Yak. 2:10-11, 1 Yoh. 3:4 return

41. Church and State, Vol. 37, No. 1, Jan. 1984, uk. 16 return

42. The Vatican Empire, Nino LoBello, uk. 68 return

43. Mat. 22:13; 25:30-46; Mk. 9:43-44; Luk. 3:17; 2 Thes. 1:1-9; 2 Pet. 2:4, 9; Uf. 14:10-11; return

44. Isa. 64:4; 1 Kor. 2:9; Ufu. 7:16-17, 21:3-4, 22-27; 22:1-5 return

45. Zab. 103:15-18; Yoh. 12:25; Yak. 1:9-12; 1 Yoh 2:15-17 return

46. Dan. 7:7-11, 23-26; Ufu. 14:8; 16:10-11; 17:15-18; 18; 19:20 return

47. Mat. 26:28; Mdo 13:38-39; Ebr. 9:22, 26; 1 Yohana 1:7return

48. Rum. 10:14 Rejea za mapitio za 49-61 zimeshatumika hapo nyuma, ndio maana hazikurudiwa tena hapa. return

49. Ufu. 17:1-6; 18:2-3; 23-24   return

50. Mat. 15:18-20; Rum. 1:20-32; 1 Kor. 6:9-10,18; 10:8; Efe. 5:5; Ebr. 12:16-17; 13:4; Ufu. 21:8   return

51. Vatican USA, Nino LoBello, ku. 78-79   return

52. Vatican Imperialism in the 20th Century, uk. 155      return

53. The Documents of Vatican II, Walter Abbott, S.J. kr. 319-331; Vatican Imperialism in the 20th Century, uk. 150; The Rockefeller File, Allen, Ch. 6; None Dare Call It Conspiracy, G. Allen, Ch. 5; Collier’s National Encyclopedia, 1936, s.v. “Illuminat,” Catholic Encyclopedia, s.v. “Illuminat”, “Ingolstadt”      return

54.  Ufu. 13:16-18; 14:9-11; 19:20     return

55. Zab. 7:11; 45:6-7; Mith. 8:13; Amo, 5:15; Rum. 1:18; Ebr. 1:8-9        return

56. Ufu. 17:1-6; 18    return

57. Vatican USA, ku. 20-21   return

58. Smokescreens, uk. 46   return

59. Isa. 53:7; Mk. 15:37-39; Ebr. 2:14-18; 3:1-4; 4:14-16; 5:1-6; 7:19-28   return

60. Kut. 28:1; 30:30   return

61. Ebr. 2:14-17; 3:1; 4:14-15; 5:5-10; 7:26-28; 9:11-28   return

62. Rum. 2:5-6; 5:18; 14:10-12; 2 Kor. 5:10; Ebr. 9:27; Yuda 6; 14-15   return

63. Mk. 16:15; Luk. 9:60-62; Mat. 10:42; Rum. 10:13-15, 1 Kor. 1:17-18; 2 Tim. 4:2   return

64. Ufu. 17:3-15,18; 18:2-13; 23-24return


Prayer footnotes:

1. Psa. 51:5, Rom. 3:10-12, 23 return

2. Matt. 26:63-64, 27:54, Luke 1:30-33, John 9:35-37, Rom. 1:3-4 return

3. Acts 4:12, 20:28, Rom. 3:25, I John 1:7, Rev. 5:9 return

4. Psa. 16:9-10, Matt. 28:5-7, Mark 16:9, 12, 14, John 2:19, 21, 10:17-18, 11:25, Acts 2:24, 3:15, Rom. 8:11, I Cor. 15:3-7 return

5. Luke 22:69, Acts 2:25-36, Heb. 10:12-13 return

6. I Cor. 3:16, Rev. 3:20 return

7. Eph. 2:13-22, Heb. 9:22, 13:12, 20-21, I John 1:7, Rev. 1:5, 7:14 return

8. Matt. 26:28, Acts 2:21, 4:12, Eph. 1:7, Col. 1:14 return

9. Matt. 21:22, John 6:35, 37-40, Rom. 10:13 return

10. Heb. 11:6 return

11. John 5:14, 8:11, Rom. 6:4, I Cor. 15:10, Rev. 7:14, 22:14 return

12. Matt. 28:18-20, John 3:5, Acts 2:38, 19:3-5 return

13. Deut. 4:29, 13:4, 26:16, Josh. 1:8, 22:5, 2 Tim. 2:15, 3:14-17, James 1:22-25, Rev. 3:18 return